warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Hii kauli huwa naitafakari sana, hivi Hamisa akili zake sijui zipo sawa kichwani yaani anapenda kumpa Diamond power kwenye maisha yake utadhani yeye Ndio Mungu wake.
Mtu hajawahi kuwa your official Boyfriend zaidi ya mchepuko, kila siku unakanwa, sasa kuna haja gani ya kumfanya awe Mungu mtu kwako.
Yaani kabisa bila aibu unaulizwa kama Diamond alijua kuwa una-shoot na Alikiba na wewe na akili zako za kushikiwa unajibu eti alikuruhusu.
Kama nani labda? Au ndio kujipendekeza upate child support? Hamisa mzuri ila anajiabishaga hana hata class. Kashamruhusu Diamond amtawale mwili hadi maisha
Mtu hajawahi kuwa your official Boyfriend zaidi ya mchepuko, kila siku unakanwa, sasa kuna haja gani ya kumfanya awe Mungu mtu kwako.
Yaani kabisa bila aibu unaulizwa kama Diamond alijua kuwa una-shoot na Alikiba na wewe na akili zako za kushikiwa unajibu eti alikuruhusu.
Kama nani labda? Au ndio kujipendekeza upate child support? Hamisa mzuri ila anajiabishaga hana hata class. Kashamruhusu Diamond amtawale mwili hadi maisha