my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Watanzania wote wako proud baada ya mrembo hamisa mobetto kupostiwa na page mashuhuri ya udaku marekani TheShadeRoom. Mrembo huyo amepostiwa kama ndio girlfriend mpya wa mwana muziki na billionaire Rick Rose.
Baada ya page hiyo mashuhuri kumpost inaonekana hadi warembo wamarekani wameanza kumuonea wivu Hamisa Mobetto.
Shukrani sana Hamisa kwa kuifikisha Tanzania uchumi wa juu bila wewe tusingefika huko. We're proud of you 🥳🥳😇🤩
Baada ya page hiyo mashuhuri kumpost inaonekana hadi warembo wamarekani wameanza kumuonea wivu Hamisa Mobetto.
Shukrani sana Hamisa kwa kuifikisha Tanzania uchumi wa juu bila wewe tusingefika huko. We're proud of you 🥳🥳😇🤩