Acha urongo wewe!Yeah mkuu kisheria mamlaka za kiraia zina nguvu kuliko za kijeshi.
Sawa mkuu naomba uniwie radhi kwa kukuongopea maana lengo la jf ni kupeana elimu na sio kuongopeana.Acha urongo wewe!
Wee ndo unasema au kuona kutoa kafara make kisa ubunge ni ujinga au ulofa, sasa viongozi wengi tyuuh wa serikali watu wao wanaowapenda kisa madaraka.
Pesa inabaki kuwa pesa tyuuh, ndo maan kila mtu anasaka pesa ili afurahie maisha murua, km kustarehe wapo wengine watakakuja kustarehe na kutumbua hizo pesa.
Dunia uwanja wa vita.
Amemuoa babako!Ni mumeo au alimuoa mama yako?
Wabunge wa upinzani hawapigiwi salutedear, mbunge au kiongozi yeyote wa kisiasa anapigiwa salute na askari wa majeshi yote hii ni sheria kabisa, kuna kipindi hata ndugai aliizungumzia
Duuhh kumbe wasafi pale wote vichwa vyao vinafanana ni wamejaza matope kichwan.
Tale katimiza vigezo vya ccm,kutoa kafara ili kupata nafasiMbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale akijibu swali la mtangazaji Salama Jabir wa Eatv kama kuna ukweli wowote wa habari zilizoeneaga kwamba amemtoa kafara mkewe ili apate ubunge Taletale amesema huo ni uzushi mtupu na alishaupuuza.
Babu Tale amesema hizo zilikuwa ni propaganda tu za maadui zake wa kisiasa lakini wamefeli kwani yeye ni mbunge aliyepita bila kupingwa na ameshaapishwa na sasa anapigiwa saluti na askari wenye nyota mabegani.
Mh Taletale amesema kwa sasa amefocus kuliletea maendeleo jimbo lake ambalo lina matatizo makubwa ya miundombinu ya barabara na ameshamwomba Rais Magufuli amsaidie.
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Ndio wajinga level za hapa kazi tu,tenaaTangu lini askari akampigia salute mbunge kumbe huyu jamaa ni kilaza kiasi hiki yeye naye atajiita serkali .poor and silly