johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,725
- 141,586
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale akijibu swali la mtangazaji Salama Jabir wa Eatv kama kuna ukweli wowote wa habari zilizoeneaga kwamba amemtoa kafara mkewe ili apate ubunge Taletale amesema huo ni uzushi mtupu na alishaupuuza.
Babu Tale amesema hizo zilikuwa ni propaganda tu za maadui zake wa kisiasa lakini wamefeli kwani yeye ni mbunge aliyepita bila kupingwa na ameshaapishwa na sasa anapigiwa saluti na askari wenye nyota mabegani.
Mh Taletale amesema kwa sasa amefocus kuliletea maendeleo jimbo lake ambalo lina matatizo makubwa ya miundombinu ya barabara na ameshamwomba Rais Magufuli amsaidie.
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Babu Tale amesema hizo zilikuwa ni propaganda tu za maadui zake wa kisiasa lakini wamefeli kwani yeye ni mbunge aliyepita bila kupingwa na ameshaapishwa na sasa anapigiwa saluti na askari wenye nyota mabegani.
Mh Taletale amesema kwa sasa amefocus kuliletea maendeleo jimbo lake ambalo lina matatizo makubwa ya miundombinu ya barabara na ameshamwomba Rais Magufuli amsaidie.
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!