Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
[h=1]KIIZA AMSHAWISHI DILUNGA KUVUA JEZI ALIYOITUMIA OKWI AKIWA SIMBA[/h]
Kiungo mpya wa Yanga, Said Dilunga alijikuta akishindwa kuhimili kuivaa jezi namba 25 ya beki wa pembeni wa Simba, Issa Rashid Baba Ubaya kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe uliozikutanisha timu hizo na kujikuta akiitoa na kuvaa fulana ya mazoezi
Kiungo mpya wa Yanga, Said Dilunga alijikuta akishindwa kuhimili kuivaa jezi namba 25 ya beki wa pembeni wa Simba, Issa Rashid Baba Ubaya kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe uliozikutanisha timu hizo na kujikuta akiitoa na kuvaa fulana ya mazoezi