kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Maoni ya Bashe
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/15805-bashe-aipasha-ccm
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia
Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?
Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/15805-bashe-aipasha-ccm
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia
Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?
Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?