Hamis Kigwangalla amjibu Bashe kuhusu CCM kujifunza kwa Zambia

kapotolo

JF-Expert Member
Sep 19, 2010
3,727
2,214
Maoni ya Bashe
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/15805-bashe-aipasha-ccm
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia

Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?

Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?
 
Bashe na wenzake wanapapatika ili vuguvugu la kujivua gamba lisiondoke nao...kitu wasichojua ni kwamba siku zao zinahesabika...
 
Maoni ya Bashe
Bashe aipasha CCM
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia

Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?

Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?

Yeah, Dr. Kigwa anaweweseka anamhofia sana al shabab bashe kwani ndiye mshindani wake mkubwa ndani ya chama cha chao cha magamba. Kumjibu bashe ameichukulia kipaumbele anadhani kwamba akimnyamazia atafunikwa.
 
kama kuna mtu aliye mahiri kwa kuropoka na kutokufuata mfumo wa chama cha mapinduzi basi ni Hamis Kigwangallah, this is verry funny ati leo anajua kuna mfumo

Na kama kuna mtu ambaye ni bora aache siasa, basi ni Bashe.... wameshamscrew kabisa ni bora angekaa kando tu atumie akili yake kwa mambo mengine

Ushauri kwa mdogo wangu Hamis, peleka maendeleo jimboni kwako, achana na media na forums... haziongezi kura na wala hazikukupigia kura
 
He must defend himself as you know he was granted by Makamba ahead of Bashe and Lucas Selelii through gutter politics. He is very unsecured and if you go deep through his various comments you will understand that he is afraiding kumwaga ugali sababu wenzake watamwaga mboga.But there is a say 'what's goes around comes around'.
 
Kwenye CCM kuna ma conservatives hawa ni wale wasiopenda mabadiliko. Wao tayari ni spent force wanajolondia status quo zao.

Pia kuna reformist hawa ndio vijana wa kileo type ya akina Bashe, Nape etc ambao ni wakereketwa wa kweli wanaokiona kitisho kinachokikabili chama chao hivyo wanataka mabadiliko ya kweli.

Kundi jingine kubwa ni CCM maslahi, hawa wako kimaslahi zaidi wengine kwa lengo la kulinda himaya zao, wengine ni ma oportunists na ma gold digger humo humo. Hawa utawatambia kwa kimbelembele na kujipendekeza kwingi lakini hawana lolote na wala hawakitakii mema chama chao. Kina Mhe. Bagaile ni mmoja wa kundi hili akiamini CCM itatawala milele!. Hawa ni kuwapa pole tuu na kuisubiri siku ya siku!. Wanaofikiri kwa kutumia ....sio wabunge CCM wa Dar peke yao, na wengine wengi tuu wapo na Mhe. Bagaile ni mmoja wao!.
 
Kama gamba kuu rostam akiamua kukomaa nao siku zao haziwezi kuhesabika. Anasubiri mkwanja wa dowans ili afanye mipango ya raisi wa tano wa nchi hii!

NI kweli mkuu huo mkwanja wa Dowans si bure una mkono wa CCM. Magamba wana fungu la kutosha humo. Kumbuka Jaji mkuu alisema haoni haja ya kukataa rufaa ni lazima deni lilipwe. Walioishauri TANESCO kuvunja mkataba na Dowans kwamba mkataba haukuwa halali kwa kuwa Dowans ilikuwa kampuni ya kitapeli ndo hao hao waliowaombea mkopo Dowans kwa Stanbic kuwa ni kampuni halali, upo hapo? Na hao hao ndo bado ni mawakili wa TANESCO, what a shame! Hii nchi yetu inatia uchungu kwa kweli.
 
He must defend himself as you know he was granted by Makamba ahead of Bashe and Lucas Selelii through gutter politics. He is very unsecured and if you go deep through his various comments you will understand that he is afraiding kumwaga ugali sababu wenzake watamwaga mboga.But there is a say 'what's goes around comes around'.
Naomba niiurekebishe, jamaa hana insecurity bali ana inferiority complex disguized as superiority complex kwa sababu anakijua fika kilichomfikisha hapo alipo kwani hakustahili!.

Ukimsoma in between the lines ni boastiful mwenye over defensive hivyo mara nyingi kuishia kwenye kujikanyaga kanyaga kwa sana!.
 
Kazi kwao na bado tunategemea mengi maovu kutoka kwao,sisi tunaendelea na maombi yetu ili wazidi kuchafuana wenyewe zaidi
 
nashauri igunga na nzega zimegwe lipatikane jimbo jingine ili hawa madogo waache kugombea fito
 
Maoni ya Bashe
Bashe aipasha CCM
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia

Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?

Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?


kitu alichosema Bashe ni sahihi 50%; nampa hii asilimia kwa sababu kasema kweli kwamba CCM inabidi ijadili matatizo ya wananchi. nimemnyima asilimia zilizobaki kwa sababu haitakiwi kuishia kujadili bali inatakiwa kutatua matatizo ya wananchi!!.

Kwa upande wa Hamis, sikutegemea mtu msomi kama yeye awe sawa na mtu wa darasa la 7- naona anatumia masaburi kufikiri.
 
Maoni ya Bashe
Bashe aipasha CCM
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia

Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?

Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?


Mtu mwenye hekima na busara daima nyota yake hung'aa na wala haingii kitanzini kama ndege anasavyo katika mtego.

Kusikiliza hoja na kukubali ushauri ni moja ya sifa ya kiongozi bora wa umma. Naamini chama cha Mzee Kaunda kilikuwa na mfumo mzuri lakini umma uliamua vinginevyo. Kadhalika chama cha Mzee Banda kimekaa madarakani miaka 20, hivyo ni wazi kilikuwa na mfumo mzuri lakini kimepewa likizo.

Ni upumbafu uliokomaa kupuuzia mabadiliko yanayotokea na kusema Tanzania hayawezekani, Ni werevu wa hali ya juu kwa walioshika utamu na keki ya Tanzania kuketi upya na kujifanyia tathmini na kusikiliza nini umma unasema. Ni ujuha usio kifani kuweka pamba masikion kama Gwangala awekavyo pamba masikioni. ANAYEIPENDA CCM NI YULE TU ANAYESEMA UKWELI HATA KAMA UNAUUMA.

Ni uzuzu kukalia makaa ya motto na kuanza kusema hakuna moto wakati umekalia moto. Kada mzuri ni yule anayekubali kukishauri chama bila unafiki amma fitna kama zilivyo ahadi za mwana CCM.

Tunahitaji watu kama Bashe bila kujali makundi, hakuna asiye na makundi katika siasa za mahali popote pale lakini pale chaguzi amma maamuzi yanapofanyika huwa tunazika tofauti zetu.

Na amini kwa kila aliye mtanzania (Si mgeni/mkimbizi) anafahamu jinsi muasisi wa CCM hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alivyokuwa anaikosoa na kuishauri CCM.

Kila aipendaye Tanzania kwa dhati FITINA, UONGO, UZANDIKI NA UNAFIKI kwake ni mwiko

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
acha wapigane risasi,au bastola wanazobeba mpaka kwenye mikutano ya hadhara ni za kulenga wananchi?
 
Tatizo la Dk Kigwa anautaka sana U DEPUTY katika wizara mojawapo ili naye awe kama Nyalandu,ndo maana anabwekabweka ili aonwe na bosi wao JK.
 
Magamba kwa magamba yanalumbana,tena wameniudhi kabisa na kunipotezea usingizi kwani nakumbuka uropokaji na uvunjifu wa sheria uliofanywa na CCM kupitia Yusuph Makamba kutoa uraia wakati yeye ni kiongozi wa chama tu,akabadilika kuwa mtu wa uhamiaji.kisa magamba humo ndani ya chama yalikuwa yanalumbana,na sasa wameanza tena,huyu nae anajiita Dr sijui ndo hizi walizokuwa wanagaina?ambayo hata Jey Kei alipewa?kuna haja gani ya kuanza kulumbana badala ya kuwasaidia wana Nzega.
mtajua wenyewe na magamba yenu
 
Maoni ya Bashe
Bashe aipasha CCM
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Hussein Bashe, ameonya kuwa iwapo CCM hakitajadili matatizo ya wananchi sasa, kitarajie kupoteza dola mwaka 2015, kama ilivyotokea kwa chama tawala Zambia

Majibu ya Hamisi Kigwangalla
"CCM itashinda 2015 bila kufuata ushauri wa Hussein Bashe wala watu wa aina yake. Hiki ni chama cha siasa na kina mifumo ya kufuata katika utendaji wa kazi zake kama kuna kada anataka kutoa ushauri kwa chama afuate mfumo uliopo vinginevyo tutajua anatafuta umaarufu wake binafsi kama alivyofanya ndugu yangu Hussein Bashe. Kwanza sioni kama ana 'moral authority' yakutoa ushauri alioutoa na chama kikafuata, maana yeye mwenyewe ana kundi lake tayari...sema bahati mbaya sana ni kwamba kwa sasa kundi lake limebanwa mbavu na chama na wao sasa wanapaparika hawajui itakuwaje kama kweli maazimio yaliyopitishwa na NEC yatafanyiwa kazi! Mimi nashindwa kuelewa ilikuwaje wenzetu hawa wakazubaa kwenye vikao halali (ambavyo wao ni wanachama) mpaka yakapitishwa maazimio mazito namna hii kwa kweli! Hivi ni kweli CC na NEC nzima hazina 'watu wao?

Maoni yangu:
Mh Kigwa naona Bashe anamnyima usingizi sana, kila maoni anayotoa Bashe lazima yeye ayajibu kwa kumpinga, Kigwa chapa kazi wananchi hawatakuhukumu kwa kumjibu Bashe bali kwa jinsi ulivyowatumikia wana Nzega. Hata hivyo wewe sio msemaji wa CCM wa ngazi yoyote ile, hivi viherehere vya nini?
Ama kweli nyani haoni kundule, Kingwangala anampinga mwenzake kutoa maoni juu ya uchaguzi ujao hadharani wakati yeye mwenyewe anatoa maoni yake juu ya mtazamo wa Bashe hadharani pamoja na mtazamo wake juu ya uchaguzi ujao hadharani. sasa sijui yeye hiyo "moral authority" anayo au ni kizabizabina tu. Halafu anaongea mambo mengi hata yasiyokuwepo kama karogwa, tatizo nini???. Nimeanza kuelewa kwanini Mbunge Lusinde alitaka baadhi ya wabunge wapimwe akili.
 
ubovu huo? Wewe uliyesoma Uk na kuzaliwa Uk ebu iandike tena hyo statement

Kiingereza siyo lugha yetu,ukikosolewa unawahi kwenda kujipanga upya! hasa unaanza kutafuta course pale British Council maana nina uhakika uko Dar siyo walioko kwenye payroll wote wako Dar!
 
Back
Top Bottom