Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

Tatizo wabongo wamezoea longolongo na mafundi na kushikana mashati mara fundi kala mifuko ya simenti basi tabu tupu, hapo nyumba ikiisha mbongo anajiona ndio mimi na kitambi kinaanza
Ni hivi kwa ninavyoelewa ni MSINGI+KUTA+PAA tu, yaani vingine unamalizia mwenyewe madirisha , milango, vyoo, dari, na kadhalika...
Na kama unawakabidhi hela na mnaandikishana kisheria na wanamaliza kwa muda mfupi, basi ni safi sana, hata mimi nitafikiria.....
 
Chumba mbili
Zipo nyumba aina 3
  • CHUMBA KIMOJA: chumba kimoja cha kulala, sebule-dining-jiko, choo-bafu, veranda
  • VYUMBA VIWILI: vyumba vya kulala 2, sebule-dining-jiko, choo-bafu, veranda
  • VYUMBA VITATU: chumba master, vyumba 2 vya kulala , sebule-dining-jiko, choo-bafu, verandaView attachment 2076342

Ramani chumba kimoja 1BHKView attachment 2076432
Ramani vyumba viwili 2BHK
View attachment 2076433

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama, vipimo... ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned
Ila
Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu
👇👇👇

👉 Nenda Google search: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
Chumba mbili 8m jamani huu utapeli samahani..
Chumba mbili andaa 24+++
 
Hello mkuu

Kitanzania ukishajenga MSINGI, KUTA, PLASTA NA PAA yaani BOMA la nyumba unaweza hamia kisha
Finishing ukawa unaifanya huku upo ndani

Binafsi naona maelezo na heading ya thread yangu yapo sawa na yapo zaidi kumpa mtu hamasa aone anaweza jenga



PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu




Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK


Au


Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
Yaani mtu ahamie nyumba ambayo haina milango wala madirisha?
 
Tunauza mbao kwa bei za jumla
2*4 fut 12=4400
2*4treated fut 12=4800
1*6 fut 12 = 4400
1*8 fut 12= 8500
1*8 ya fisherboard=9500
1*10=13500
1*10 ya fisherboard= 15000
2*2treated fut 12=2500
2*2 fut 12=2300
2*4treated fut 18=9500
2*6 fut 12=8500
2*6treated fut 18=16000
2*2treated fut 18=5000
2*3 fut 12=3500
1*4 fut 18=4000
1*4 fut 12=2500
Tunafanya delivery popote ulipo kwa Dar-es-salaam ,tunapatikana kwa namba hizi hapa 0759630751,
0654830416,
0687371138
vile vile huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu ..
Ofisi zetu ziko Mbuyuni -Bagamoyo road
 
Epuka nyumba za kupanga kwa kuanza kumiliki nyumba yako ya gharama nafuu

Tumeandaa ramani hizi maalumu kwa yule anayetaka kumiliki nyumba yake kwa haraka kwa gharama nafuu.
  • nyumba hizi ni maalumu kwa unafuu (Chumba Kimoja ~6Mil, Vyumba Viwili ~9Mil, Vyumba Vitatu ~13Mil)
  • Makisio hayo ya gharama ni kwajili ya kujenga msingi, kuta, plasta na paa (jumla ya gharama za vifaa + ufundi)
  • unaweza jenga nyumba hizi kidogo kidogo kwa awamu mpaka unamaliza
  • ni nyumba nzuri za kisasa, kuvutia na zipo simple, hazitumii gharama kubwa kujenga
  • ni nzuri kwa mtu mwenye familia ndogo (~5) na kwa anayetaka kujenga za kupangisha
  • unaweza jenga popote Tanzania
  • nyumba hizi zinatumia sehemu ndogo ya kiwanja (~12*12m)
  • Unaweza anza jenga chumba 1 baadaye ukaipanua kwenda vyumba vitatu (au viwili kwenda vitatu)
  • kwetu utapata huduma zifuatazo: Ramani full ya nyumba, list ya vifaa vyote vinavyohitajika, mafundi wa kukujengea
  • hatukopeshi nyumba, bali unajenga kwa pesa yako (unaweza jenga kidogo kidogo kwa awamu mpaka Inakwisha)

+255-657-685-268 (Piga/ WhatsApp)
Makazi Network
1669721178.jpg
 
Epuka nyumba za kupanga kwa kuanza kumiliki nyumba yako ya gharama nafuu

Tumeandaa ramani hizi maalumu kwa yule anayetaka kumiliki nyumba yake kwa haraka kwa gharama nafuu.
  • nyumba hizi ni maalumu kwa unafuu (Chumba Kimoja ~6Mil, Vyumba Viwili ~9Mil, Vyumba Vitatu ~13Mil)
  • Makisio hayo ya gharama ni kwajili ya kujenga msingi, kuta, plasta na paa (jumla ya gharama za vifaa + ufundi)
  • unaweza jenga nyumba hizi kidogo kidogo kwa awamu mpaka unamaliza
  • ni nyumba nzuri za kisasa, kuvutia na zipo simple, hazitumii gharama kubwa kujenga
  • ni nzuri kwa mtu mwenye familia ndogo (~5) na kwa anayetaka kujenga za kupangisha
  • unaweza jenga popote Tanzania
  • nyumba hizi zinatumia sehemu ndogo ya kiwanja (~12*12m)
  • Unaweza anza jenga chumba 1 baadaye ukaipanua kwenda vyumba vitatu (au viwili kwenda vitatu)
  • kwetu utapata huduma zifuatazo: Ramani full ya nyumba, list ya vifaa vyote vinavyohitajika, mafundi wa kukujengea
  • hatukopeshi nyumba, bali unajenga kwa pesa yako (unaweza jenga kidogo kidogo kwa awamu mpaka Inakwisha)

+255-657-685-268 (Piga/ WhatsApp)
Makazi Network
View attachment 2125648
Haya sasa ndio maneno. Ramani mpaka ujenzi u achukua muda gani
 
Zifuatazo ni Aina Kadhaa za Nyumba za kuishi Familia ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako. Zipo ktk uwanja mpana wa STAILI, KIASI CHA KIWANJA, KIASI CHA VIFAA...


View attachment 996857

Kutazama Ramani Zake za Ndani
+255-657-685-268 WhatsApp

1 ==> vyumba 3, tofali 1700, bati 50
2 ==> vyumba 3, tofali 1800, bati 60
3 ==> vyumba 3, tofali 1900, bati 65
4 ==> vyumba 3, tofali 1400, bati 62
5 ==> vyumba 3, tofali 2278, bati 65
6 ==> vyumba 3, tofali 3000, bati 80
7 ==> vyumba 3, tofali 2380, bati 76
8 ==> vyumba 3, tofali 2333, bati 70
9 ==> vyumba 3, tofali 2776, bati 85
10 ==> vyumba 3, tofali 3118, bati 91
11 ==> vyumba 2, tofali 3666, bati 119
12 ==> vyumba 4, tofali 3324, bati 108
13 ==> vyumba 3, tofali 2522, bati 76
14 ==> vyumba 4, tofali 4213, bati 108
15 ==> vyumba 4, tofali 5118, bati 136
16 ==> vyumba 4, tofali 5013, bati 128
17 ==> vyumba 3, tofali 4236, bati 97
18 ==> vyumba 3, tofali 3883, bati 126
19 ==> vyumba 4, tofali 3769, bati 95
20 ==> vyumba 4, tofali 3033, bati 94
21 ==> vyumba 4, tofali 4139, bati 152
22 ==> vyumba 4, tofali 6668, bati 163
23 ==> vyumba 2, tofali 3623, bati 59
24 ==> vyumba 3, tofali 2914, bati 33
25 ==> vyumba 3, tofali 4006, bati 82
26 ==> vyumba 3, tofali 4177, bati 99
27 ==> vyumba 4, tofali 5584, bati 77
28 ==> vyumba 4, tofali 9188, bati 36

= Idadi hiyo ni ya vyumba vya kulala (jumla ya master na vyumba kawaida.
= Sebure, dining, jiko, choo ndani vipo kama kawaida
= mawasiliano yangu +255-657-685-268


Kwa anayehitaji kujua makisio ya gharama za ujenzi kwa nyumba specific uliyochagua

  • ninachaji ada ya Tshs. 50,000/= nyumba ya kawaida au 100,000/= kwa GHOROFA
  • ambapo nitakuandalia mchanganuo wake (tazama comment ya kwanza kwa mfano wa ripoti ya mchanganuo) na utapata ndani ya masaa 24



Makadirio hayo yana uhakika zaidi
  • tofali ni za block nchi 5 au 6
  • hiyo ni jumla ya tofali za MSINGI + KUTA
  • makadirio ya tofali assumption kiwanja chako kipo flat na ardhi nzuri
  • - kama kiwanja chako ni mteremko basi tofali idadi itaongezeka
  • bati ni za kawaida za urefu wa futi 10 (mita 3)


Kitaalamu na kwa soko la Tanzania kwa nyumba ya familia iliyojengwa vyema kila kitu mpaka finishing
---> nyumba ya gharama nafuu (tofali 1000-2500, bajeti 25 - 40M)
---> nyumba ya kawaida (tofali 3000 - 4500, bajeti 40 - 70M)
---> Nyumba bungalow (tofali 5000 - 7000, bajeti 80 - 130M)
---> Ghorofa gharama nafuu (bajeti 110 - 150M)
---> Ghorofa kawaida (bajeti 180 - 250M)
---> Ghorofa premium (bajeti 350M--->


Gharama Kwa nyumba ya kawaida kitaalamu [ijapokuwa zinaweza kutofautiana kutegemeana na eneo na staili]
  • 45% ya gharama ya ujenzi ni kujenga boma (msingi, kuta na bati), 55% hutumika kufanya finishing
  • Steji zinazokula gharama ya ujenzi ni (paa ~15%, Msingi 12%, Madirisha 12%, Milango 11%)
  • Ktk ujenzi wako steji ya kupiga paa inapaswa uwe makini [mbao zinakula gharama] pia inahitajika nguvu kwa mara moja tofauti na steji nyingine


***** Popote ulipo Dar es Salaam, Mikoani, Nje ya Nchi waweza pata huduma zetu
***** Tunafanya kazi kwa njia ya mtandao (website), waweza tumiwa kwa posta au basi


+++ Simu mawasiliano (+255-657-685-268)
+++ Ukipiga simu basi ndugu usiwe mchoyo wa malipo ili upate huduma nzuri maana tunafanya biashara
+++ NYUMBA NAFUUU - Tegeta Salasala, DSM-TZ (karibu ofisini ada Tsh. 25,000/=)
Big up,keep up the movement
 
Back
Top Bottom