ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Nyalandu tu.Hivi hadi sasa ni nani amesajiliwa kwa dau kubwa?
Nyalandu tu.Hivi hadi sasa ni nani amesajiliwa kwa dau kubwa?
Mkuu,usihangaike nao hao. Akili zao wanazijua wenyewe tu.kwanini tunazungumzia upande mmoja tuu,toka 2015 hadi leo inamaana hakuna waliohamia CHADEMA kutoka CCM??Nyalandu,Lowassa.Sumaye. inamaana hawa walihamia CHADEMA ni afadhali zaidi ya wanaohamia CCM?inamaana waliohamia CHADEMA wameenda kukijenga chama ila waliohamia CCM wameenda kukibomoa chama?