Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Wakuu kwa mjibu wa RFA jion hii, Hamadi Rashid na wenzake wataanza kuhojiwa kesho na zoezi hilo litakuwa la siku mbili mfululizo kupitia kamati ya maadili ya CUF. Tufuatilie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana nilimuona rashid jana kawa mnyonge kweli kwenye boti za azam akija znz
Walitazame vipi maana hujatoa suggestion yoyote.Nachowaomba CUF walitazame swala hili kwa jicho la tahadhari sana maana ukweli ni kwamba Maalim Seif amekidhoofisha chama hiki Bara vibaya sana na sii yule Maalim wa miaka ya 2000...CUF inakufa kwa sababu yake na sii mtu mwingine ukweli huo upo na wakiukataa ni kwa sababu ya ushabiki tu..
Tunamkumbusha Hamad Rashid awe makini asije akafa akiwa anahojiwa kama yaliyomkuta Horace Kolimba maana kwa sasa mbinu za CUF na CCM ni moja tu! Kumalizana!
Wayatazame madai ya Hamad Rashid kwanza na sii kumweka yeye kizimbani..Ya seif tunaita counterclaim maana madai ya Rashid ndio Principal..Walitazame vipi maana hujatoa suggestion yoyote.