Hamad Rashid Waziri wa Kilimo Zanzibar Ni Mwanasiasa wa Kuigwa

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Hamad Rashid Mohamed ni Waziri wa Kilimo wa serikali ya mapinduzi Zanzibar na ni mbunge kutoka chama cha upinzani cha Alliance for Democratic Change. Mwanasiasa ameonyesha ukomavu mkubwa wa siasa baada ya kuamua kuweka siasa za kulalamika nyuma na kuamua kufanya kazi kama Waziri kwenye serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibari.
Tumeona chama cha CUF kikiwa na migogoro isiyokwisha inayosababisha wabunge wa chama hicho kushindwa kuwakilisha waliowachagua kikamilifu. Ni vizuri kwa wabunge wote wa upinzani kujifunza kutoka kwa mwanasiasa huyu mkomavu wa kisiasa kuwa baada ya uchaguzi tunatakiwa tuwe kitu kimoja kwa kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii. Natoa pongezi kwa viongozi wa ACT Wazalendo Kitila Mkumbo na Ana Maghwira kwa wao pia kuamua kufanya kazi na serikali ya awamu ya tano. Ni vyema kwa vyama vya siasa baada ya uchaguzi kuangalia vinawezaje kuchangia nini maendeleo ya taifa, demokrasia haimanishii kwa upinzani kuona chochote kinachofanywa na serikali iliyopo madarakani ni mabaya na ni muhimu kwa vyama hivyo kuheshimu serikali iliyopo madarakani, Kama wabunge watashindwa kuwakilisha wapiga kura wao kikamilifu wajue mwaka 2020 watanzania watakuwa na maamuzi ya kuchagua watu makini wa kuwawakilisha.
 
Hamad Rashid Mohamed ni Waziri wa Kilimo wa serikali ya mapinduzi Zanzibar na ni mbunge kutoka chama cha upinzani cha Alliance for Democratic Change. Mwanasiasa ameonyesha ukomavu mkubwa wa siasa baada ya kuamua kuweka siasa za kulalamika nyuma na kuamua kufanya kazi kama Waziri kwenye serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibari.
Tumeona chama cha CUF kikiwa na migogoro isiyokwisha inayosababisha wabunge wa chama hicho kushindwa kuwakilisha waliowachagua kikamilifu. Ni vizuri kwa wabunge wote wa upinzani kujifunza kutoka kwa mwanasiasa huyu mkomavu wa kisiasa kuwa baada ya uchaguzi tunatakiwa tuwe kitu kimoja kwa kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii. Natoa pongezi kwa viongozi wa ACT Wazalendo Kitila Mkumbo na Ana Maghwira kwa wao pia kuamua kufanya kazi na serikali ya awamu ya tano. Ni vyema kwa vyama vya siasa baada ya uchaguzi kuangalia vinawezaje kuchangia nini maendeleo ya taifa, demokrasia haimanishii kwa upinzani kuona chochote kinachofanywa na serikali iliyopo madarakani ni mabaya na ni muhimu kwa vyama hivyo kuheshimu serikali iliyopo madarakani, Kama wabunge watashindwa kuwakilisha wapiga kura wao kikamilifu wajue mwaka 2020 watanzania watakuwa na maamuzi ya kuchagua watu makini wa kuwawakilisha.
mtuondolee kwanza unafiki wenu wa kusifiana wenyewe kwa wenyewe..
 
Hamad Rashid Mohamed ni Waziri wa Kilimo wa serikali ya mapinduzi Zanzibar na ni mbunge kutoka chama cha upinzani cha Alliance for Democratic Change. Mwanasiasa ameonyesha ukomavu mkubwa wa siasa baada ya kuamua kuweka siasa za kulalamika nyuma na kuamua kufanya kazi kama Waziri kwenye serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibari.
Tumeona chama cha CUF kikiwa na migogoro isiyokwisha inayosababisha wabunge wa chama hicho kushindwa kuwakilisha waliowachagua kikamilifu. Ni vizuri kwa wabunge wote wa upinzani kujifunza kutoka kwa mwanasiasa huyu mkomavu wa kisiasa kuwa baada ya uchaguzi tunatakiwa tuwe kitu kimoja kwa kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii. Natoa pongezi kwa viongozi wa ACT Wazalendo Kitila Mkumbo na Ana Maghwira kwa wao pia kuamua kufanya kazi na serikali ya awamu ya tano. Ni vyema kwa vyama vya siasa baada ya uchaguzi kuangalia vinawezaje kuchangia nini maendeleo ya taifa, demokrasia haimanishii kwa upinzani kuona chochote kinachofanywa na serikali iliyopo madarakani ni mabaya na ni muhimu kwa vyama hivyo kuheshimu serikali iliyopo madarakani, Kama wabunge watashindwa kuwakilisha wapiga kura wao kikamilifu wajue mwaka 2020 watanzania watakuwa na maamuzi ya kuchagua watu makini wa kuwawakilisha.
Nimwanasiasa wa Kuigwa kweli,
Hasa Kwa wanasiasa wanaotaka kufanya siasa za kinafiki basi Hamad Rashid ni mfano mzuri kwa wo kumuiga
 
Kenya wana katiba mpya nini kinachoendela kwa usalama wa nchi hiyo. Leo kuna uchaguzi mkuu kila mtu tumbo moto.
Kweli elimu ni kitu muhimu sana katika jamii maana wajinga kama wewe wanaendeleaa kupukutika , hata uliicho kiandika hukielewi na wala katika na umuhimu wake pia hauuelewi
 
Kweli elimu ni kitu muhimu sana katika jamii maana wajinga kama wewe wanaendeleaa kupukutika , hata uliicho kiandika hukielewi na wala katika na umuhimu wake pia hauuelewi
Mtu mwenye akili finyu kama yako utatoa hoja ya kinafiki. Wewe unadai hiyo katiba unajua maana ya katiba ?
 
kwa hiyo kenya akishindwa jambo na tanzania tumeshindwa?TUNATAKA KATIBA YETU
 
Kenya wana katiba mpya nini kinachoendela kwa usalama wa nchi hiyo. Leo kuna uchaguzi mkuu kila mtu tumbo moto.
Kama una bunduki na huitumii si sawa na mtu mwenye bakora, maana siku ukiweza kuitumia nguvu yake haitafanana na bakora!
 
Hamad ni mchumia tumbo, wanafiki ndio wanaofanikiwa kwenye utawala wa CCM.
 
Ha ha ha ha aigwe kama ambavyo La profeseri Lipumba ameweza kumuiga kwa ile kazi aliyokuwa ameianza ya kuiua CUF!!!
 
Hamad Rashid Mohamed ni Waziri wa Kilimo wa serikali ya mapinduzi Zanzibar na ni mbunge kutoka chama cha upinzani cha Alliance for Democratic Change. Mwanasiasa ameonyesha ukomavu mkubwa wa siasa baada ya kuamua kuweka siasa za kulalamika nyuma na kuamua kufanya kazi kama Waziri kwenye serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa maendeleo ya wazanzibari.
Tumeona chama cha CUF kikiwa na migogoro isiyokwisha inayosababisha wabunge wa chama hicho kushindwa kuwakilisha waliowachagua kikamilifu. Ni vizuri kwa wabunge wote wa upinzani kujifunza kutoka kwa mwanasiasa huyu mkomavu wa kisiasa kuwa baada ya uchaguzi tunatakiwa tuwe kitu kimoja kwa kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii. Natoa pongezi kwa viongozi wa ACT Wazalendo Kitila Mkumbo na Ana Maghwira kwa wao pia kuamua kufanya kazi na serikali ya awamu ya tano. Ni vyema kwa vyama vya siasa baada ya uchaguzi kuangalia vinawezaje kuchangia nini maendeleo ya taifa, demokrasia haimanishii kwa upinzani kuona chochote kinachofanywa na serikali iliyopo madarakani ni mabaya na ni muhimu kwa vyama hivyo kuheshimu serikali iliyopo madarakani, Kama wabunge watashindwa kuwakilisha wapiga kura wao kikamilifu wajue mwaka 2020 watanzania watakuwa na maamuzi ya kuchagua watu makini wa kuwawakilisha.
piga konyagi kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom