Hamad Rashid vs Freeman Mbowe=mt kilimanjaro vs kichuguu

dos santos

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
256
128
Nilifuatilia kwa makini saana mdahalo ulowakutanisha mbunge wa wawi mh hamad rashid kiongozi wa kambi ya upinzani isiyo rasmi na mbunge wa hai mh freeman mbowe ambaya ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Ukiacha ushabiki wa vyana Hamad Rashid alionesha uelewa mkubwa mno wa kile alichokuwa akikieleza zaidi ya mwenzake mbowe ambaye alikuwa akizungumza hoja ambazo hakuelewa nini msingi wake au amelishwa.Ni kama mtu aliyekaririshwa halafu akakuta kitu tofauti.Hamad alijibu maswali kitaalamu na kiufundi ambapo mbowe alikuwa akilalamikia cuf juu ya katiba(kama vile wameiweka wao) na kuuliza maswali ya jf yasiyo na kichwa wala miguu.Hakuonesha umakini ila udhaifu na kiasi cha kuzua naswali mengi namna kambi ya upinzaji chini ya uongozi wake hali itakuwaje.
Ukweli mbowe siasa bado,aendelee kujifunza kwa wanasiasa wakongwe.
Mdahalo umeonyesha Hamad Rashid usiku ule alikuwa kama mlima kilimanjaro na freeman mbowe kama kichuguu,kiasi ilimfanya mwenyekiti wa mdahalo awe anaingilia kati kumnusuru mbowe kiasi kilichopelekea mashabiki wa cuf waingilie kati kiasi cha kutaka kupelekea mdahalo uvunjike.
Ilikuwa kama watu walioandaa mechi katika uwanja wao,refa wao,kikombe chao, mwisho wanapigwa mabao na wanabaki na mshangao.
ni mtazamo tu
 
The whole thing was a charade, worse than a high school food-fight. Some likened it to a kindergarten melee.
 
watu wa pwani utawajua tu.

kiswahili kingi na vijimisemo vya hovyo hovyo kwa wingi, kazi 0.
 
CUF na mashabiki wenu si mmeshaungana na CCM, kwani ni lazima muungane na CDM??

Mnatumia nguvu kubwa sana kutaka mshirikishwe, wenzenu wameshawaambia hawawataki kwa sababu nyinyi ni mamluki, msichoelewa hapo ni nini???
 
Ingawa niliusikiliza mdahalo huu mwishoni nakubaliana na wewe kuwa Mbowe alikuwa kama Kasuku anayesema yale aliyoyasikia tu wakati mwenzake (Hamad Rashid) alionyesha upeo wa hali ya juu ya uelewa wa mambo.

Kama ingalifananishwa na mechi ya Mpira basi matokeo yake ni kama ya juzi baina ya Man U na Blackburn.:drum:
 
nilifuatilia kwa makini saana mdahalo ulowakutanisha mbunge wa wawi mh hamad rashid kiongozi wa kambi ya upinzani isiyo rasmi na mbunge wa hai mh freeman mbowe ambaya ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.ukiacha ushabiki wa vyana hamad rashid alionesha uelewa mkubwa mno wa kile alichokuwa akikieleza zaidi ya mwenzake mbowe ambaye alikuwa akizungumza hoja ambazo hakuelewa nini msingi wake au amelishwa.ni kama mtu aliyekaririshwa halafu akakuta kitu tofauti.hamad alijibu maswali kitaalamu na kiufundi ambapo mbowe alikuwa akilalamikia cuf juu ya katiba(kama vile wameiweka wao) na kuuliza maswali ya jf yasiyo na kichwa wala miguu.hakuonesha umakini ila udhaifu na kiasi cha kuzua naswali mengi namna kambi ya upinzaji chini ya uongozi wake hali itakuwaje.
Ukweli mbowe siasa bado,aendelee kujifunza kwa wanasiasa wakongwe.
Mdahalo umeonyesha hamad rashid usiku ule alikuwa kama mlima kilimanjaro na freeman mbowe kama kichuguu,kiasi ilimfanya mwenyekiti wa mdahalo awe anaingilia kati kumnusuru mbowe kiasi kilichopelekea mashabiki wa cuf waingilie kati kiasi cha kutaka kupelekea mdahalo uvunjike.
Ilikuwa kama watu walioandaa mechi katika uwanja wao,refa wao,kikombe chao, mwisho wanapigwa mabao na wanabaki na mshangao.
Ni mtazamo tu

wapemba mmejanjaruka hata humu mpo;bala laha sana
 
Nyie CUF mnanishangaza sana, mnapenda sana kujisifia, Hamad Rashid alijisifia kuwa yeye ni mwanasiasa mkongwe, Mwenyekiti na mgombea wenu alijisifia kuwa yeye ni ml. Kilimanjaro na Dr. Slaa ni kichuguu.

Kwa kifupi hata mkijipa sifa, CUF kina nguvu pemba, huku bara ni mamluki na lengo lenu ni posho na hela tuu, sijaona cha maana kwa wabunge wenu. Naomba mjiulize wabunge wengi wanatoka pemba, mmefanikiwa kuwa kwenye serikali ya umoja zanzibar, elezeni sasa nyie wapemba serikali ya muungano mnachotaka nini? Pumbaffff!!
 
Nilijua wanaccm humu jf watasema ninayo yasikia lakini ukweli ni kwamba mbowe alimfunika vibaya mamuluki kwa point zifuatazo.
1. Kwa kanuni za bunge chadema inaruhusiwa kuunda kambi ya upinzani bila kutishwa wala kuingiliwa na mamluki yeyote
2. Kwa cuf kuwa nusu serikali nusu upinzani siyo rahisi kukurupuka kuwahusisha kwenye kambi ya upinzani
3. Cuf walisusia serikali ya zanzibar 1995, 2000, 2005 yet waliunda kambi ya upinzani anashangaa nini chadema kuunda
4. Kususia hotuba ya rais chadema hawajavunja kanuni yoyote ya bunge wala shria yoyete ya tanzania ila walicheza krata yao vizuri kuibua mjadala wa katiba mpya, na tume huru ambavyo cuf wameshindwa kuvitekeleza.
5. Ilikuwa aibu na uelewa mdogo kwa hamad kuleta mambo ya udini kwenye mdahalo eti niliongea na ndesamburo akaniambia eti cuf sisi wadin bullllllllllllshit hamadi
6. Inaonesha wazi kuwa hamadi ameumia million 200 alizokuwa akipatiwa kama kiongozi bungeni
7. Hamadi alishindwa kufafanua ikiwa cuf inalenga serikali ya umoja wa kitaifa mbona hawajashirikisha vyama vyote zanzibar katika ndoa yao?
8.hamadi alishindwa kufafanua atawezaje kuwa mpinzani wakati yeye ni sehem ya serikali
9. Hamdi amaeshindwa kuelewa kuwa mabadiliko ndani ya bunge hayawezikani bila pressure ya umma nje ya bunge -kwakuwa ndani ccm imejaza mbumbumbu wapiga makofi
10. Kwa ujumla mbowe was cool and hamdi alikuwa na hasira saana hadi pale walipoitwa ccm wakataka kupiga ngumi
hongera rosemary mwakitwange
 
Ingawa niliusikiliza mdahalo huu mwishoni nakubaliana na wewe kuwa Mbowe alikuwa kama Kasuku anayesema yale aliyoyasikia tu wakati mwenzake (Hamad Rashid) alionyesha upeo wa hali ya juu ya uelewa wa mambo.

Kama ingalifananishwa na mechi ya Mpira basi matokeo yake ni kama ya juzi baina ya Man U na Blackburn.:drum:

kwenye ushabiki elimu haifui dafu ila ukweli rashidi alionyesha upeo kuliko freeman.......
 
Nilijua wanaccm humu jf watasema ninayo yasikia lakini ukweli ni kwamba mbowe alimfunika vibaya mamuluki kwa point zifuatazo.
1. Kwa kanuni za bunge chadema inaruhusiwa kuunda kambi ya upinzani bila kutishwa wala kuingiliwa na mamluki yeyote
2. Kwa cuf kuwa nusu serikali nusu upinzani siyo rahisi kukurupuka kuwahusisha kwenye kambi ya upinzani
3. Cuf walisusia serikali ya zanzibar 1995, 2000, 2005 yet waliunda kambi ya upinzani anashangaa nini chadema kuunda
4. Kususia hotuba ya rais chadema hawajavunja kanuni yoyote ya bunge wala shria yoyete ya tanzania ila walicheza krata yao vizuri kuibua mjadala wa katiba mpya, na tume huru ambavyo cuf wameshindwa kuvitekeleza.
5. Ilikuwa aibu na uelewa mdogo kwa hamad kuleta mambo ya udini kwenye mdahalo eti niliongea na ndesamburo akaniambia eti cuf sisi wadin bullllllllllllshit hamadi
6. Inaonesha wazi kuwa hamadi ameumia million 200 alizokuwa akipatiwa kama kiongozi bungeni
7. Hamadi alishindwa kufafanua ikiwa cuf inalenga serikali ya umoja wa kitaifa mbona hawajashirikisha vyama vyote zanzibar katika ndoa yao?
8.hamadi alishindwa kufafanua atawezaje kuwa mpinzani wakati yeye ni sehem ya serikali
9. Hamdi amaeshindwa kuelewa kuwa mabadiliko ndani ya bunge hayawezikani bila pressure ya umma nje ya bunge -kwakuwa ndani ccm imejaza mbumbumbu wapiga makofi
10. Kwa ujumla mbowe was cool and hamdi alikuwa na hasira saana hadi pale walipoitwa ccm wakataka kupiga ngumi
hongera rosemary mwakitwange

Mkuu, i can not add anything here, you said it all :teeth:
 
Ni kweli, Hamad Rashid aling'ara sana na kumfunika Mbowe kwa mbali sana. Tatizo Mbowe alikuwa akiegemea katiaka uzushi unaopatikana katika MWANAHALISI na JF. Kuiita CUF kuwa na kibaraka, si sahihi. Tatizo lenu mkishindwa uwanjani ndani ya dakika 90 mnaanza kejeli na mzaha
 
Kama mtu ukowa brain washed lazima utaona katika upande ambao umekuingia akilini hata kama unakatoa hoja zisizo za msingi
 
Nilijua wanaccm humu jf watasema ninayo yasikia lakini ukweli ni kwamba mbowe alimfunika vibaya mamuluki kwa point zifuatazo.
1. Kwa kanuni za bunge chadema inaruhusiwa kuunda kambi ya upinzani bila kutishwa wala kuingiliwa na mamluki yeyote
2. Kwa cuf kuwa nusu serikali nusu upinzani siyo rahisi kukurupuka kuwahusisha kwenye kambi ya upinzani
3. Cuf walisusia serikali ya zanzibar 1995, 2000, 2005 yet waliunda kambi ya upinzani anashangaa nini chadema kuunda
4. Kususia hotuba ya rais chadema hawajavunja kanuni yoyote ya bunge wala shria yoyete ya tanzania ila walicheza krata yao vizuri kuibua mjadala wa katiba mpya, na tume huru ambavyo cuf wameshindwa kuvitekeleza.
5. Ilikuwa aibu na uelewa mdogo kwa hamad kuleta mambo ya udini kwenye mdahalo eti niliongea na ndesamburo akaniambia eti cuf sisi wadin bullllllllllllshit hamadi
6. Inaonesha wazi kuwa hamadi ameumia million 200 alizokuwa akipatiwa kama kiongozi bungeni
7. Hamadi alishindwa kufafanua ikiwa cuf inalenga serikali ya umoja wa kitaifa mbona hawajashirikisha vyama vyote zanzibar katika ndoa yao?
8.hamadi alishindwa kufafanua atawezaje kuwa mpinzani wakati yeye ni sehem ya serikali
9. Hamdi amaeshindwa kuelewa kuwa mabadiliko ndani ya bunge hayawezikani bila pressure ya umma nje ya bunge -kwakuwa ndani ccm imejaza mbumbumbu wapiga makofi
10. Kwa ujumla mbowe was cool and hamdi alikuwa na hasira saana hadi pale walipoitwa ccm wakataka kupiga ngumi
hongera rosemary mwakitwange

Big up!!!!!!!

Hata mimi mdahalo niliufuatilia mwanzo hadi mwisho... Hamadi Alikuwa na hasira na papara...Mh Mbowe alikuwa cool sana na liongea na kujibu kilichotakiwa... wazushi wanapotosha kama kawaida yao!!
 
mbowe was great, hamad with ccm-cuf was hollible thus y walitaka kupigana wao kwa wao. infact ilionyesha picha harisi ya upinzani utakavyo kua bungeni. chadema v/s(ccm+cuf+nccr).
 
Ni kweli, Hamad Rashid aling'ara sana na kumfunika Mbowe kwa mbali sana. Tatizo Mbowe alikuwa akiegemea katiaka uzushi unaopatikana katika MWANAHALISI na JF. Kuiita CUF kuwa na kibaraka, si sahihi. Tatizo lenu mkishindwa uwanjani ndani ya dakika 90 mnaanza kejeli na mzaha

Kama kweli mtazamo wako ndio huo, basi unatumia the wrong media (JF) na inaelekea unasoma sana Mwanahalisi. Huo ni unafiki pure and simple. Aidha, kwa sisi tuliofuatilia mdahalo wa jana vizuri, hii habari ya "Hamad kumzidi sana Mbowe kwa hoja" ni matumaini ya kishabiki zaidi. Haya ni masuala ya mustakabali wa kitaifa si mambo ya kufanyia maskhara. Hata katika hiyo serikali ya umoja wa kitaifa huko Z'bar sie wengine tunaombea sana CUF wawe macho kuhakikisha malengo ya kupigania haki sawa kwa wote hayahujumiwi kwa mitizamo ya kishabiki kama baadhi yenu mnayojaribu kuileta hapa. Na mjue kwamba CCM ina lengo la dhati la kuifanya CUF kuwa kibaraka-ikizubaa. Kazi kwenu.
 
CUF wacheni uchangu doa, nyie meshaungana na CCM sasa huku upinzani mnatafuta nini?Nyie ni chama tawala jamani ridhikeni na ndoa yenu na Mafisadi.
 
Sifurahishwi na michango ya watoa hoja. Naona baadhi wanasema tu kwamba Mbowe kamfunika Hamad wengine Hamad kamfunika Mbowe bila kueleza katika lipi nani kamfunika nani, huo ni ushabiki. Kwa sababu tunajua kuwa kila upande yaani upande wa Mbowe na Hamad kulikuwa na washabiki na bado wapo. Kila hoja ambayo mchangiaji anataka kuitoa kuwa fulani kamfunika mwenzake basi iwe na vielelezo. Bila hivyo mwishoni isije ikawa mmoja kamfunika mwenzake katika suala la mavavi wakati hicho siyo kitu kinachopaswa kuwa kitu cha muhimu katika mjadala
 
Nilifuatilia kwa makini saana mdahalo ulowakutanisha mbunge wa wawi mh hamad rashid kiongozi wa kambi ya upinzani isiyo rasmi na mbunge wa hai mh freeman mbowe ambaya ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Ukiacha ushabiki wa vyana Hamad Rashid alionesha uelewa mkubwa mno wa kile alichokuwa akikieleza zaidi ya mwenzake mbowe ambaye alikuwa akizungumza hoja ambazo hakuelewa nini msingi wake au amelishwa.Ni kama mtu aliyekaririshwa halafu akakuta kitu tofauti.Hamad alijibu maswali kitaalamu na kiufundi ambapo mbowe alikuwa akilalamikia cuf juu ya katiba(kama vile wameiweka wao) na kuuliza maswali ya jf yasiyo na kichwa wala miguu.Hakuonesha umakini ila udhaifu na kiasi cha kuzua naswali mengi namna kambi ya upinzaji chini ya uongozi wake hali itakuwaje.
Ukweli mbowe siasa bado,aendelee kujifunza kwa wanasiasa wakongwe.
Mdahalo umeonyesha Hamad Rashid usiku ule alikuwa kama mlima kilimanjaro na freeman mbowe kama kichuguu,kiasi ilimfanya mwenyekiti wa mdahalo awe anaingilia kati kumnusuru mbowe kiasi kilichopelekea mashabiki wa cuf waingilie kati kiasi cha kutaka kupelekea mdahalo uvunjike.
Ilikuwa kama watu walioandaa mechi katika uwanja wao,refa wao,kikombe chao, mwisho wanapigwa mabao na wanabaki na mshangao.
ni mtazamo tu

ukomavu wa hamad ni kuja kwenye mdahalo kuanika kila aliloongea na wenzake? Ili atuoneshe kuwa ni kidume kweli, mbona hakuaanika alichongea au kufanya na mkewe??? naona CCM imewapa kazi ya kutaka kutufanya tu divert attention yetu ya kushughulikia ufisadi ktk nchi hii
 
Nilijua wanaccm humu jf watasema ninayo yasikia lakini ukweli ni kwamba mbowe alimfunika vibaya mamuluki kwa point zifuatazo.
1. Kwa kanuni za bunge chadema inaruhusiwa kuunda kambi ya upinzani bila kutishwa wala kuingiliwa na mamluki yeyote
2. Kwa cuf kuwa nusu serikali nusu upinzani siyo rahisi kukurupuka kuwahusisha kwenye kambi ya upinzani
3. Cuf walisusia serikali ya zanzibar 1995, 2000, 2005 yet waliunda kambi ya upinzani anashangaa nini chadema kuunda
4. Kususia hotuba ya rais chadema hawajavunja kanuni yoyote ya bunge wala shria yoyete ya tanzania ila walicheza krata yao vizuri kuibua mjadala wa katiba mpya, na tume huru ambavyo cuf wameshindwa kuvitekeleza.
5. Ilikuwa aibu na uelewa mdogo kwa hamad kuleta mambo ya udini kwenye mdahalo eti niliongea na ndesamburo akaniambia eti cuf sisi wadin bullllllllllllshit hamadi
6. Inaonesha wazi kuwa hamadi ameumia million 200 alizokuwa akipatiwa kama kiongozi bungeni
7. Hamadi alishindwa kufafanua ikiwa cuf inalenga serikali ya umoja wa kitaifa mbona hawajashirikisha vyama vyote zanzibar katika ndoa yao?
8.hamadi alishindwa kufafanua atawezaje kuwa mpinzani wakati yeye ni sehem ya serikali
9. Hamdi amaeshindwa kuelewa kuwa mabadiliko ndani ya bunge hayawezikani bila pressure ya umma nje ya bunge -kwakuwa ndani ccm imejaza mbumbumbu wapiga makofi
10. Kwa ujumla mbowe was cool and hamdi alikuwa na hasira saana hadi pale walipoitwa ccm wakataka kupiga ngumi
hongera rosemary mwakitwange

CUF wanatapenda shari; wameungana na CCM kwa njaa tu; ila hatuhitaji kuungana nao; naamini watoa mada kumsupport RH ni CCM
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom