Ntaramuka
Senior Member
- May 2, 2008
- 169
- 27
Katika hali inayoonekana kuwa hali si shwari katika chama cha wananchi(CUF), mmoja wa wanachama na kiongozi nguli kabisa wa chama hicho, ndugu Hamad Rashid Mohammed, mbunge wa WAWI kule Pemba na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni anafikiria kuachana na chama hicho kwa kile anachodai kuwa kuwa ni kuwa uongozi wa chama hicho kukosa mikakati thabiti ya kukiongoza, na hata kukifanya kupoteza umaarufu wake wa awali.
Imethibitika kuwa bado kuna mazungumzo anafanya na uongozi wa juu wa chama hicho ambao kama hautabadilika atafuata nyayo za aliye kuwa naibu katibu mkuu wake mh. Wilfred Rwakatare aliyejiengua katika chama hicho na kujiunga na CHADEMA.
Kama mh. Hamad naye atajiengua basi hili litakuwa pigo lingine kubwa kwa CUF.
Imethibitika kuwa bado kuna mazungumzo anafanya na uongozi wa juu wa chama hicho ambao kama hautabadilika atafuata nyayo za aliye kuwa naibu katibu mkuu wake mh. Wilfred Rwakatare aliyejiengua katika chama hicho na kujiunga na CHADEMA.
Kama mh. Hamad naye atajiengua basi hili litakuwa pigo lingine kubwa kwa CUF.