Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuweni wapevu kisiasa maalim seif na pinda ni viongozi wakuu wa serikali wana haki ya kulindwa na kupigiwa vingora kama ilivyo taratibu zetu za nchi,mbunge hana prevelage hio hii inaonesha wazi kwamba huyu ni kibaraka wa ccm na huo mkutano uliandaliwa kwa hela za ccm kama ambavyo walikuwa wanafanya kampeni pemba walijua hawana wafuaci walichokuwa wanafanya walikuwa wanakuja na meli mbili toka unguja na magari yote ya serikali pemba yalilazimisha kuja mkutanoni ili waonekane na wachukuliwe na vyombo vya habari,ukweli ni kwaba hao waliompokea hamad asilimia 95 si wakazi wa wawi wala wanachama wa cuf bali wa ccm toka sehem mbali mbali ili kutoa image ya utakatifu wa hamad ila ukweli ni kwamba hamad rashid amejinyea na maji ya mgao kusafishika ni ngumu .atafute kazi si kuwadanganya wapemba hawa hawadanganyiki na vijisenti licha ya umaskini wao hilo hata hamad rashid analijua.
ushauri achana na siasa tafuta nyavu ukavue chaza pemba
Maana yake salama yake iko ndani ya muungano. Hatujawahi kuona ulinzi wa namna hii awapo Dar. Aachane kabisa na kauli zake zinazoashiria kuvunja muungano ingawa hatuuhitaji.
Rejea mchango wa Hamad Rashid baada ya hotuba ya waziri kivuli wa sheria na katiba kuhusu muswada wa katiba mpya then utafute maana ya hilo neno kwenye bold!Acha kuandika non sense.
Bahamadi usijifiche,hatwebu tochi kukujua!!!Nani kauli zake Ni za kuashiria kuvunja muungano?! Unajua Kilio cha HRashid CUF?! Ushajiuliza Ni kwa nini maalim SEIF hakuwahi kufanya mkutano hata mmoja wa kampeni bara katika uchaguzi wa 2010? Vipi kuhusu kauli ya HR ya Mgao wa fedha ndani ya chama CUF katika uchaguzi huo? Kwamba Zanzibar yenye wakazi wasiofikia hata milion1 walijitengea zaidi ya million 500 kwa kampeni za SEIF sharif na Lipumba akatengewa milioni70 azunguke tanzania bara yenye wakazi zaidi ya milion40 kuomba urais!! Inawezekana vp hapo? Sijaenda kwny sq.km hapo Ni idadi tu ya watu.......nani mwenye muonekano wa kuvunja muungano.
Acha kuandika non sense.
Bahamadi usijifiche,hatwebu tochi kukujua!!!
Rejea mchango wa Hamad Rashid baada ya hotuba ya waziri kivuli wa sheria na katiba kuhusu muswada wa katiba mpya then utafute maana ya hilo neno kwenye bold!
Usiwe Na fikra fupi kiasi hicho kifauongo...huyo bahamadi wako kaa ukijua kuna watu wanamsapoti......hasa Sisi wa huku bara a.k.a 'Tanganyika'(najua umefurahi zaidi kwa mimi kutumia neno hili)
Halafu NINYI ndo wanafiki wenyewe unajidai kumuita bahamadi bahamadi na nina hakika hadi mizinga unampiga akiwa pande hizo (coz lazima uko Karibu naye) lakini ndio wa kwanza kumnanga......hivi ile haki sawa kwa wote iko wapi pale Chuki'Ubinafsi'na'Fitna a.k.a chama cha kisultani?!!