Hamad Rashid jana aliongazana na magari yenye silaha, marungu na vingora katika Jimbo lake la Uchaguzi lkn pia ktk kisiwa chake alichozaliwa.
Mkutano wake ulikuwa kama BUSH yupo Tanzania jinsi ulivyokuwa na ulinzi.
miaka 15 ya ubunge hajawahi kupata ulinzi kama ule.Hamad Rashid ni mbunge ambae hata Mgambo haruhusiwi kutembea nae kama Mlinzi
JEE kisiasa hii inamaana gani kwake?
Mkutano wake ulikuwa kama BUSH yupo Tanzania jinsi ulivyokuwa na ulinzi.
miaka 15 ya ubunge hajawahi kupata ulinzi kama ule.Hamad Rashid ni mbunge ambae hata Mgambo haruhusiwi kutembea nae kama Mlinzi
JEE kisiasa hii inamaana gani kwake?