Hamad Rashid ana vipimo vyote vya unafik hivi sasa dalili ziko wazi

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
[h=1][/h]
Kwamujibu wa Mh Hamadi kufanyakila kiwezekanacho lakini kuwa sugu kukiasha Chama kwa njia ya kistarabu basiimekuwa vigumu kwake.
Hivi sasa ana vipimo vyote kuwahuyu mtu ni moto wakuuotea mbali Wazanzibar, ukiangalia hivi sasa anachokorakila upande ili uchokoreke ,kwanza kamuanza Maalim,Jussa,Machano na hivi sasa nikupandikiza fitna Baina ya Cuf Zanzibar na cuf Bara.
Mimi nawashukuru sana viongoziwetu wa cuf Zanzibar hususan Maalim Seif kutokumjibu huyu , yeye HR ndio kitusio kitu hukimbilia vyombo vya habari na kujaribu kutaka kumzalilisha Maalim.
Hii ni aibu tusio itekemea Wanawa Zanzibar yako mambo mengi yalitokea huko nyuma ya tama za kilimwengu lakinihili la Hamad Rashid ni baya zaidi na tunasema amesha cross ktk red line.
Maana hivi sasa Hamad wapambewake ni Media na wachabiki wasio itakia meme Zanzibar na watu wake, ukiangaliavyama vyote kila chama kina sokomoko lake na mambo yake.
Lakini hivi sasa imekuwa hili laHamadi limechukuwa champion kwa kuwa tu walumbanao ni ndugu kwa ndugu damu mojana Wana wa Zanzibar hii ni aibu na yupi mwenye kujifanya jabari na kumtafuta nakumchokonyowa mwenzake ni Hamadi Rashid.
Hakuna shaka kuwa yeye ndioamekuwa mteja wao mkubwa vyombo vya habari na kwa vile muelekee wa Zanzibarhivi sasa ni mzuri na huku tukielekea katika katiba mpya ya Wazanzibar kutiamkono kizani Hamadi katuletea mapya nay a aibu kwa nchi yetu ya Zanzibar iliotulia hivi sasa.
Ndugu zangu Wazanzibar katikavipimo vyetu vyote inaonekana kuwa huyu mtu hana zamira njema bindipo wachakupewa huo ukatibu kwa style hii aliokuja nayo, lakini hata kubakia katikanyazifa za chama haminiki tena huyu.
Yeye anasema Chama kimekufaTanzania Bara na wakumbebesha lawama ni Maalim? Ama kweli fadhila za Pundamachuzi, Maalim huyo huyo ndio alokwenda kuwaangukia wazee wa Wawi wampitishehuyu HR lakini ilikuwa washa mbwaga kutokana na kuiuwa Wawi.
Huyu hana msada wowote kule kwaoalotowa Zaodi ya kuchaguliwa kuwa Mbunge na kukamata nyazifa mbali mbali Zaidihutowa hutuba huko kwa wakwe zake na mashemegi zake Wabara.
Na kama chama kimekufa Bara ?sababu tuseme huzijuwi? Au Hamadi umejipiga chindano yakupoteza fahamu?, Hakunaasojuwa kuwa kuja Serekali ya umoja wa Kitaifa Zanzibar bada ya ccm/cuf kuwachatafauti zao za kisiasa na kujali Zanzibar kwanza siasa badae ndio wenzetuwakafanya donge na Chadema kukumba wafuasi wengi wa kafu.
Na Slogani walilolitumia Chademanikuwa tayari cuf imechakuwa ccm B na jengine nikuwa Zanzibar imevunja gatibaya Muungano kwa marekebisho ya katiba yao ya 1984 kuwa Zanzibar ni nchi na inamikoa yake na mipaka yake ya nchi.
Sasa chakujiuliza sisi kabla yaMuungano Tanganyika ijitayo Tanzania ilikuwa sio nchi na haina mipaka walamikowa? Au ndio choyo cha kuona Zanzibar bado ni koloni la Tanganyika ijitayoTanzania?.
Nanukuu poits zakealizozishikilia kuwa anavyosema ni haki yake kisheria kuwa HR awe Katibu mkuuwa Chama , a. anasema Maalim kazeka b. ana majukumu mengi yani ukatibu naUmakamo wa rais.
Sasa tuje kwake Nyani haoni …?Yeye Mh Hamad Rashid hawajatafautiana na Maalim ni rika moja na ikiwa kuzeekani yupi alikuja njee sana kufanyiwa oparetion ukiangalia Maalim nay eye?.
Na kama kutaka kumpokonya MaalimKofia 1 kati ya hizo mbili, Jee Nyani haoni Ku-n …? Yeye Mwenyewe ana kofiangapi?, kwanza ni Muwakilishi wa Wawi 1.)2. ni kiongozi wa kambi ya upinzani nac ni mfanya biashara marufu. Sasa Hamadi wangwana ana Kofia ngapi?.
Jengine nikuwa vyama vyote kwahili ni kitu chakawaita na hata mfumo wa binadamu katika jamii zetu uko hivi ?tuje mfumo hai wa dini yetu ya Kislamu ujakatazwa kuowa wake 4 kama utafanya tuuadilifu .
Na mfumo wa siasa ni hivyo hivyomtu anakuwa Muwakilishi na Mbunge na Waziri au naibu waziri ni Kofia ngapihizo? Hata Raisi wa Muungano Jkikwete ni Rais, na Amiri Jesh Mkuu na Mwenyekitiwa Chama?.
Sasa hukumu hii iwe kwa MaalimSeif tu, au ndio Maalim Seif ni (Bundi) akilia yeye huambiwa uchuro lakiniwakilia ndege wengine sio uchuro?.
Na Hamad huyo huyo Bada ya kukosaUwenye kiti ktk kambi ya upinzani aliunda kambi ndogo ya upinzani kwakushirikiana na Ana Makinda na Pinda ili tu kuwawekea kifua Chadema.
Sasa kama kambi kubwa ya Upinzaniipo vipi wewe unde ndogo? Au kwa kuwa hukupata uongozi wa juu katika kambikubwa? Lakini mimi nasema wangekuja wakampa huyu HR ukubwa Chadema basiningewaona mafala na angekivuruga chama chote huyu kwa kutumiliwa na vikoko waccm.
Lakini nazani Chadema walilionahilo, cuf walikwishanjuwa huyu zamani lakini arubaini yake ilikuwa haijafikatu, watu wa Wawi kama sio Maalim Seif kwenda kupinda makodi basi ilikuwa yukonjee huyu.
Mungu ibariki Zanzibar na fitnaza huyu mtu HR.

 

Attachments

  • DSC_6410.JPG
    DSC_6410.JPG
    72.5 KB · Views: 37
swala ni kwamba Hamad R katangaza nia ya kugombea ukatibu mkuu, kinachofanyika ni fitna tu. leo ndo mmeona anavuruga cuf?? na kwa nini wenzetu wapo so mean kwa maana kila mitafaruku ya kisiasa wanaongelea utanganyika na uzanzibar?? wanafikiri kujitenga ndo watatatua matatizo??? tusiwe tunatumia cover ya muungano kuficha ukweli........
 
Kwamujibu wa Mh Hamadi kufanyakila kiwezekanacho lakini kuwa sugu kukiasha Chama kwa njia ya kistarabu basiimekuwa vigumu kwake.
Hivi sasa ana vipimo vyote kuwahuyu mtu ni moto wakuuotea mbali Wazanzibar, ukiangalia hivi sasa anachokorakila upande ili uchokoreke ,kwanza kamuanza Maalim,Jussa,Machano na hivi sasa nikupandikiza fitna Baina ya Cuf Zanzibar na cuf Bara.
Mimi nawashukuru sana viongoziwetu wa cuf Zanzibar hususan Maalim Seif kutokumjibu huyu , yeye HR ndio kitusio kitu hukimbilia vyombo vya habari na kujaribu kutaka kumzalilisha Maalim.
Hii ni aibu tusio itekemea Wanawa Zanzibar yako mambo mengi yalitokea huko nyuma ya tama za kilimwengu lakinihili la Hamad Rashid ni baya zaidi na tunasema amesha cross ktk red line.
Maana hivi sasa Hamad wapambewake ni Media na wachabiki wasio itakia meme Zanzibar na watu wake, ukiangaliavyama vyote kila chama kina sokomoko lake na mambo yake.
Lakini hivi sasa imekuwa hili laHamadi limechukuwa champion kwa kuwa tu walumbanao ni ndugu kwa ndugu damu mojana Wana wa Zanzibar hii ni aibu na yupi mwenye kujifanya jabari na kumtafuta nakumchokonyowa mwenzake ni Hamadi Rashid.
Hakuna shaka kuwa yeye ndioamekuwa mteja wao mkubwa vyombo vya habari na kwa vile muelekee wa Zanzibarhivi sasa ni mzuri na huku tukielekea katika katiba mpya ya Wazanzibar kutiamkono kizani Hamadi katuletea mapya nay a aibu kwa nchi yetu ya Zanzibar iliotulia hivi sasa.
Ndugu zangu Wazanzibar katikavipimo vyetu vyote inaonekana kuwa huyu mtu hana zamira njema bindipo wachakupewa huo ukatibu kwa style hii aliokuja nayo, lakini hata kubakia katikanyazifa za chama haminiki tena huyu.
Yeye anasema Chama kimekufaTanzania Bara na wakumbebesha lawama ni Maalim? Ama kweli fadhila za Pundamachuzi, Maalim huyo huyo ndio alokwenda kuwaangukia wazee wa Wawi wampitishehuyu HR lakini ilikuwa washa mbwaga kutokana na kuiuwa Wawi.
Huyu hana msada wowote kule kwaoalotowa Zaodi ya kuchaguliwa kuwa Mbunge na kukamata nyazifa mbali mbali Zaidihutowa hutuba huko kwa wakwe zake na mashemegi zake Wabara.
Na kama chama kimekufa Bara ?sababu tuseme huzijuwi? Au Hamadi umejipiga chindano yakupoteza fahamu?, Hakunaasojuwa kuwa kuja Serekali ya umoja wa Kitaifa Zanzibar bada ya ccm/cuf kuwachatafauti zao za kisiasa na kujali Zanzibar kwanza siasa badae ndio wenzetuwakafanya donge na Chadema kukumba wafuasi wengi wa kafu.
Na Slogani walilolitumia Chademanikuwa tayari cuf imechakuwa ccm B na jengine nikuwa Zanzibar imevunja gatibaya Muungano kwa marekebisho ya katiba yao ya 1984 kuwa Zanzibar ni nchi na inamikoa yake na mipaka yake ya nchi.
Sasa chakujiuliza sisi kabla yaMuungano Tanganyika ijitayo Tanzania ilikuwa sio nchi na haina mipaka walamikowa? Au ndio choyo cha kuona Zanzibar bado ni koloni la Tanganyika ijitayoTanzania?.
Nanukuu poits zakealizozishikilia kuwa anavyosema ni haki yake kisheria kuwa HR awe Katibu mkuuwa Chama , a. anasema Maalim kazeka b. ana majukumu mengi yani ukatibu naUmakamo wa rais.
Sasa tuje kwake Nyani haoni …?Yeye Mh Hamad Rashid hawajatafautiana na Maalim ni rika moja na ikiwa kuzeekani yupi alikuja njee sana kufanyiwa oparetion ukiangalia Maalim nay eye?.
Na kama kutaka kumpokonya MaalimKofia 1 kati ya hizo mbili, Jee Nyani haoni Ku-n …? Yeye Mwenyewe ana kofiangapi?, kwanza ni Muwakilishi wa Wawi 1.)2. ni kiongozi wa kambi ya upinzani nac ni mfanya biashara marufu. Sasa Hamadi wangwana ana Kofia ngapi?.
Jengine nikuwa vyama vyote kwahili ni kitu chakawaita na hata mfumo wa binadamu katika jamii zetu uko hivi ?tuje mfumo hai wa dini yetu ya Kislamu ujakatazwa kuowa wake 4 kama utafanya tuuadilifu .
Na mfumo wa siasa ni hivyo hivyomtu anakuwa Muwakilishi na Mbunge na Waziri au naibu waziri ni Kofia ngapihizo? Hata Raisi wa Muungano Jkikwete ni Rais, na Amiri Jesh Mkuu na Mwenyekitiwa Chama?.
Sasa hukumu hii iwe kwa MaalimSeif tu, au ndio Maalim Seif ni (Bundi) akilia yeye huambiwa uchuro lakiniwakilia ndege wengine sio uchuro?.
Na Hamad huyo huyo Bada ya kukosaUwenye kiti ktk kambi ya upinzani aliunda kambi ndogo ya upinzani kwakushirikiana na Ana Makinda na Pinda ili tu kuwawekea kifua Chadema.
Sasa kama kambi kubwa ya Upinzaniipo vipi wewe unde ndogo? Au kwa kuwa hukupata uongozi wa juu katika kambikubwa? Lakini mimi nasema wangekuja wakampa huyu HR ukubwa Chadema basiningewaona mafala na angekivuruga chama chote huyu kwa kutumiliwa na vikoko waccm.
Lakini nazani Chadema walilionahilo, cuf walikwishanjuwa huyu zamani lakini arubaini yake ilikuwa haijafikatu, watu wa Wawi kama sio Maalim Seif kwenda kupinda makodi basi ilikuwa yukonjee huyu.
Mungu ibariki Zanzibar na fitnaza huyu mtu HR.

Du! wenzangu mnaelewa jamaa kaandika nini? hawa ndo wale wanaoamini Maalim Seif Kashushwa toka mbinguni.. almost a saint
 
Hii lugha gani umetumia hapa,, Kipemba? Andika Kiswahili
Hata miye sijavutiwa na uandishi wake huyu ndugu, by the way, wamezoea umaskini hawa, hawataki kukombolewa wapemba hawa! I visited Pemba once this year, kweli kumesahaulika, bado wanaishi kijamaa mno, yaani hata mmoja wao akipiga hatua wanatamani kumuua ili wabaki wanafanana ujinga! Ndo maana waliopo tanganyika huku hawatataka kurudi kwao, na wagombea mno ati falsafa ya nchi moja katika muungano, utashangaa! muungano ukiisha huu hawa hawana lao, watan'gan'gania uraia wa tanganyika!
 
Jamaa anapaswa kuwa anaedit baada ya kuandika story ndefu kama hii. HR ana tamaa, tulishuudia akinghaka kuusu kambi ya upinzani ila bahati nzuru alikutana na msimamo mkali wa kamanda wa anga akagonga mwamba.Yeye na kafulila walitaka kuivuruga kambi ya upinzani sasa cjajua wanawaza kukimbilia tena chadema ambapo walitumia muda mwingi kuvuruga? Asante MUNGU humuachi mnafiki afike mbali
 
Jamaaa anapaswa kuwa anaedit baada ya kuandika story ndefu kama hii. HR ana tamaa, tulishuudia akinghaka kuusu kambi ya upinzani ila bahati nzuru alikutana na msimamo mkali wa kamanda wa anga akagonga mwamba.Yeye na kafulila walitaka kuivuruga kambi ya upinzani sasa cjajua wanawaza kukimbilia tena chadema ambapo walitumia muda mwingi kuvuruga? Asante MUNGU humuachi mnafiki afike mbali
 
wewe ndio mnafiki.kwa nini unamhukum kabla ya kumsikiliza?mimi sio CUF lakini HR ana hoja.Chama kimekufa we unaleta porojo apa.fanyieni kazi mawazo ya HR kama utamsikia akiongea barabarani.au kwa kuwa ameonyesha nia ya kugombea ukatibu mkuu.
 
Tabia ya ku-quote li-taarifa lirefu linakera sana maana kuna watu wanatumia simu humu jf, sasa ukifanya hivo inakuwa too problematic kwa fone users.
 
[h=1][/h]
Kwamujibu wa Mh Hamadi kufanyakila kiwezekanacho lakini kuwa sugu kukiasha Chama kwa njia ya kistarabu basiimekuwa vigumu kwake.
Hivi sasa ana vipimo vyote kuwahuyu mtu ni moto wakuuotea mbali Wazanzibar, ukiangalia hivi sasa anachokorakila upande ili uchokoreke ,kwanza kamuanza Maalim,Jussa,Machano na hivi sasa nikupandikiza fitna Baina ya Cuf Zanzibar na cuf Bara.
Mimi nawashukuru sana viongoziwetu wa cuf Zanzibar hususan Maalim Seif kutokumjibu huyu , yeye HR ndio kitusio kitu hukimbilia vyombo vya habari na kujaribu kutaka kumzalilisha Maalim.
Hii ni aibu tusio itekemea Wanawa Zanzibar yako mambo mengi yalitokea huko nyuma ya tama za kilimwengu lakinihili la Hamad Rashid ni baya zaidi na tunasema amesha cross ktk red line.
Maana hivi sasa Hamad wapambewake ni Media na wachabiki wasio itakia meme Zanzibar na watu wake, ukiangaliavyama vyote kila chama kina sokomoko lake na mambo yake.
Lakini hivi sasa imekuwa hili laHamadi limechukuwa champion kwa kuwa tu walumbanao ni ndugu kwa ndugu damu mojana Wana wa Zanzibar hii ni aibu na yupi mwenye kujifanya jabari na kumtafuta nakumchokonyowa mwenzake ni Hamadi Rashid.
Hakuna shaka kuwa yeye ndioamekuwa mteja wao mkubwa vyombo vya habari na kwa vile muelekee wa Zanzibarhivi sasa ni mzuri na huku tukielekea katika katiba mpya ya Wazanzibar kutiamkono kizani Hamadi katuletea mapya nay a aibu kwa nchi yetu ya Zanzibar iliotulia hivi sasa.
Ndugu zangu Wazanzibar katikavipimo vyetu vyote inaonekana kuwa huyu mtu hana zamira njema bindipo wachakupewa huo ukatibu kwa style hii aliokuja nayo, lakini hata kubakia katikanyazifa za chama haminiki tena huyu.
Yeye anasema Chama kimekufaTanzania Bara na wakumbebesha lawama ni Maalim? Ama kweli fadhila za Pundamachuzi, Maalim huyo huyo ndio alokwenda kuwaangukia wazee wa Wawi wampitishehuyu HR lakini ilikuwa washa mbwaga kutokana na kuiuwa Wawi.
Huyu hana msada wowote kule kwaoalotowa Zaodi ya kuchaguliwa kuwa Mbunge na kukamata nyazifa mbali mbali Zaidihutowa hutuba huko kwa wakwe zake na mashemegi zake Wabara.
Na kama chama kimekufa Bara ?sababu tuseme huzijuwi? Au Hamadi umejipiga chindano yakupoteza fahamu?, Hakunaasojuwa kuwa kuja Serekali ya umoja wa Kitaifa Zanzibar bada ya ccm/cuf kuwachatafauti zao za kisiasa na kujali Zanzibar kwanza siasa badae ndio wenzetuwakafanya donge na Chadema kukumba wafuasi wengi wa kafu.
Na Slogani walilolitumia Chademanikuwa tayari cuf imechakuwa ccm B na jengine nikuwa Zanzibar imevunja gatibaya Muungano kwa marekebisho ya katiba yao ya 1984 kuwa Zanzibar ni nchi na inamikoa yake na mipaka yake ya nchi.
Sasa chakujiuliza sisi kabla yaMuungano Tanganyika ijitayo Tanzania ilikuwa sio nchi na haina mipaka walamikowa? Au ndio choyo cha kuona Zanzibar bado ni koloni la Tanganyika ijitayoTanzania?.
Nanukuu poits zakealizozishikilia kuwa anavyosema ni haki yake kisheria kuwa HR awe Katibu mkuuwa Chama , a. anasema Maalim kazeka b. ana majukumu mengi yani ukatibu naUmakamo wa rais.
Sasa tuje kwake Nyani haoni …?Yeye Mh Hamad Rashid hawajatafautiana na Maalim ni rika moja na ikiwa kuzeekani yupi alikuja njee sana kufanyiwa oparetion ukiangalia Maalim nay eye?.
Na kama kutaka kumpokonya MaalimKofia 1 kati ya hizo mbili, Jee Nyani haoni Ku-n …? Yeye Mwenyewe ana kofiangapi?, kwanza ni Muwakilishi wa Wawi 1.)2. ni kiongozi wa kambi ya upinzani nac ni mfanya biashara marufu. Sasa Hamadi wangwana ana Kofia ngapi?.
Jengine nikuwa vyama vyote kwahili ni kitu chakawaita na hata mfumo wa binadamu katika jamii zetu uko hivi ?tuje mfumo hai wa dini yetu ya Kislamu ujakatazwa kuowa wake 4 kama utafanya tuuadilifu .
Na mfumo wa siasa ni hivyo hivyomtu anakuwa Muwakilishi na Mbunge na Waziri au naibu waziri ni Kofia ngapihizo? Hata Raisi wa Muungano Jkikwete ni Rais, na Amiri Jesh Mkuu na Mwenyekitiwa Chama?.
Sasa hukumu hii iwe kwa MaalimSeif tu, au ndio Maalim Seif ni (Bundi) akilia yeye huambiwa uchuro lakiniwakilia ndege wengine sio uchuro?.
Na Hamad huyo huyo Bada ya kukosaUwenye kiti ktk kambi ya upinzani aliunda kambi ndogo ya upinzani kwakushirikiana na Ana Makinda na Pinda ili tu kuwawekea kifua Chadema.
Sasa kama kambi kubwa ya Upinzaniipo vipi wewe unde ndogo? Au kwa kuwa hukupata uongozi wa juu katika kambikubwa? Lakini mimi nasema wangekuja wakampa huyu HR ukubwa Chadema basiningewaona mafala na angekivuruga chama chote huyu kwa kutumiliwa na vikoko waccm.
Lakini nazani Chadema walilionahilo, cuf walikwishanjuwa huyu zamani lakini arubaini yake ilikuwa haijafikatu, watu wa Wawi kama sio Maalim Seif kwenda kupinda makodi basi ilikuwa yukonjee huyu.
Mungu ibariki Zanzibar na fitnaza huyu mtu HR.


Uandishi wa aina hii ni mateso kwa wasomaji. Au ndio sababu ya hasira hata vitufe vya kuweka nafasi na kutenganisha aya ulikuwa huvioni?. Povu likishatulia jipange vizuri halafu ujaribu kufanya uhariri kwenye huu ujumbe ili ueleweke vizuri.

Hasira Hasara...
 
Kuna umuhimu wa kufundisha wana Jf humu ndani kuhusiana na mpangilio mzima wa uandishi.
 
Honestly,namkubali sana HR,kwani anaonekana mtu makini sana pindi azungumzapo,ingawa sishabihiani na wanasiasa,lakn MADAI yake katu si ya kupuuzwa.
 
Wakuu pamoja na uandishi mbovu wa mleta hoja nadhani hoja yake inaeleweka na tumsamehe katika hila la uandishi.
Binafsi namuona HR anamatatizo yake binafsi ya chuki, hivi kama ni haki yake kugombea ukatibu kuna mtu kamzuia? Maana sijasikia hata mtu mmoja kutoka CUF anayempinga kwa hilo.
Na labda nimshukuru sana Maalim Seif kwa kutojibishana naye ovyo, anachofanya HR ni kupita huko na huku kuichafua CUF simply kwasababu hana madaraka ndani ya chama baada ya kuukosa ukuu wa kambi ya upinzani
Mambo anayofanya HR ni ya kisaliti kabisa anapaswa kusubiri wakati wa uchaguzi ufike kisha aanze kampeni zake za ukatibu mkuu na si kuanza kuwavuruga wenzake kwa kuanza kuanika mambo ya chama hovyo bila ushahidi.
Sababu alizotoa mleta mada kuhusu kushuka hadhi kwa CUF bara si za kupuuzwa zinaukweli ndani yake, ingawa Maalim anamapungufu yake kama walivyo viongozi wa upinzani wote kutafuta uhalali wa kuendelea kuongoza kwa visingizio mbali mbali, tuliona Mbowe alivyotetea uenyekiti wake dhidi ya Zitto, Mpatia dhidi ya Kafulila, akina Mrema na Cheyo halikadhalika.
HR anaonyesha ana kama tamaa na kutaka tu kuwavuruga wenzake kama kweli anataka asubiri uchaguzi
 
Jamani, mnaotumia PC mtuwekee profile ya Kakke (mtoa mada) ili tuone: join date,# of posts, Rep power etc, ni natumia Nokia ya mchina na kosa uhondo huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom