Hamad Rashid amegoma kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya CUF kuhusu tuhuma zake za uasi katyika CUF. Ameyatamka hayo mbele ya waandishi wa habari leo.
Amesema sababu ni kwamba kamati hiyo haipo kikatiba (katiba ya CUF), hana imani na wanakamati, na kwamba tayari ameshahukumiwa kabla hata ya kwenda mbele ya kamati
Anasema Maalim Sewif baada ya kufanya ziara Pemba na kwingineko bara na visiwani na kufanya vikao na watendaji wa chama, alimuandikia barua M/Kiti Prof Lipumba kwamba kwa mawazo ya wengi aliyopata, ni kwamba Hamadi Rashidi afukuzwe kutoka chama.
Kuna mengine mengi kayasema ambayo Ch 10 bulletin ya 7pm ilimkatiza.
Nawasilisha.
Kikwete si Alhajj...Kwa faida..Alhajj ni Muislamu aliyekwenda kuhiji Makka. Jakaya Mrisho Kikwete bado haja jaaliwa kwenda Hijja. Na hivyo si Alhajj
Kama ni kweli Maalim Seif alifanya hivyo, basi alikuwa na ajenda ya siri dhidi ya HR. Nilifikiri Maalim ni mtu wa busara, kumbe... au kisha onjeshwa na magamba?
naona sasa anajimaliza mwenyewe. Nawasikitikia CUF bara, sijui nani atawatetea, maana Mtatiro kisha viukwa kilemba cha kipemba. Too sad!
Kazi imeanza rasmi, na kama ni game ndiyo kwanza mbichi kabisa, ngoja tusubiri next episode tuone nini kitatokea, ila kuna tofauti gani kati ya Maalimu seif na madikteta wengine duniani kama Gadaffi, Ben Ali, Mubaraka wanaong'ang'ania madaraka kwa muda mrefu?Seif atajimaliza mara mbili? Ndiyo maana safari za ghafla huku bara -- kumbe alikuwa anapandikiza chuki?
Na tofauti iko wapi na kardinali Pengo ambaye tangu nimalize shule jina ni lake tu?.Kazi imeanza rasmi, na kama ni game ndiyo kwanza mbichi kabisa, ngoja tusubiri next episode tuone nini kitatokea, ila kuna tofauti gani kati ya Maalimu seif na madikteta wengine duniani kama Gadaffi, Ben Ali, Mubaraka wanaong'ang'ania madaraka kwa muda mrefu?
Ushauri wangu kwa Maalimu Seif; achia madaraka kabla wananchi hawajakuchoka, miaka 4 iliyobaki yakunywa whisky na kuku ikulu inakutosha ikichukulia wewe ni mgonjwa; I remember umekaa miezi 3 Middle East kwa matibabu,
Kwa kuwa Seif amemua kumuua jamaa kisiasa namshauri Hamad aumwage hadharani waraka wa Seif ili tuone kilichoandikwa kwenda ka m/kiti wa cuf ndipo tutamwamini kuwa ni mwanamapinduzi wa kweli
YESSSSSSS!!!!! Aumwage hadharani. Lakini mwenye kutaka kujua fitina za Maalim, si aende akamuulize Abud Jumbe? Yuko hai bado.
Huyu mjamaa (seif) nilimpenda sana huko nyuma lakini sasa sijui kitu gani kimemuingia -- ni yule mdudu 'king'ang'anizi cha madaraka?"
Sikujua Cardinali Pengo ni mwanasiasa anayechaguliwa kwa kura za umma.Na tofauti iko wapi na kardinali Pengo ambaye tangu nimalize shule jina ni lake tu?.
Kuna watu humu wanawashwa makalio, Pengo anahusika nini na Topic hii? usivamie vitu usivyovijuwa cardinal Pengo ni successor wa Cardinal Rugambwa, na Cleric leader sio uongozi wa kisiasa maamuma mkubwa wewe!!Na tofauti iko wapi na kardinali Pengo ambaye tangu nimalize shule jina ni lake tu?.
'king'ang'anizi cha madaraka+tongeYESSSSSSS!!!!! Aumwage hadharani. Lakini mwenye kutaka kujua fitina za Maalim, si aende akamuulize Abud Jumbe? Yuko hai bado.
Huyu mjamaa (seif) nilimpenda sana huko nyuma lakini sasa sijui kitu gani kimemuingia -- ni yule mdudu 'king'ang'anizi cha madaraka?"