Hama hama ya wanasiasa ni uzalendo,usaliti au kukua kwa demokrasia?

Ni ubora duni wa wanasiasa pamoja na mpangilio hovyo wa vyama vyetu. CCM ina mtindo ambao uliigwa na vyama vingine. Yaani ukiwa Mkiti basi wewe ni yote. Unafuta na kuingiza watu wapya upendavyo. Kwa CCM labda tusema ni uraibu wa chama Kimoja, sasa CDM, UDP, TLP imekuwaje nao wanakuwa na abosolute power kwa wengine?

Namkumbuka Cheyo akisema, ".... Jidulamabambasi, OUT!" Akifukuza wanachama kama wapangaji wake. Leo hii Mbowe anatuhumiwa wizi/matumizi hovyo ya chama na mali zake, yeye kimya! Haoni sababu ya kujibu kwa kuamini ni chama chake, yeye ni supreme. Lipumba anaachisha watu uanachama, watu kimya na wengine wanalazimika kujikomba ili awapende.

Swali ni je, Tuendelee kulea wanasiasa kwa kodi zetu wakati ubora wao ni duni kiasi hiki?
Wafutiwe ruzuku... Chadema ndo mwasisi wa "siasa biashara," commercial politics. Mbowe akiona mtu yeyote anayeweza kumuongezea ruzuku, anafanya kila namna ampate. Wakati ni sasa, wasipewe ruzuku
 
hapa unamlamu nani? wapinzani ndio tatizo
Infact silaumu mtu yeyote. Lakini si wapinzani tu ndio wenye shida. Ni vyama vyote ikiwemo tawala na whole institutional set iliyopo.

Sasa kama mpaka mwaka 2018, bado yupo mtu anaamini katika Ujamaa au anaamini katika kuhama vyama badala ya kujenga itikadi itakayovutia new brains katika chama chake bado unatarajia kuwa na kizazi cha maendeleo hapo? Ni hasara kwa Afrika kuwa na vizazi hivyo vilivyopo.
 
Infact silaumu mtu yeyote. Lakini si wapinzani tu ndio wenye shida. Ni vyama vyote ikiwemo tawala na whole institutional set iliyopo.

Sasa kama mpaka mwaka 2018, bado yupo mtu anaamini katika Ujamaa au anaamini katika kuhama vyama badala ya kujenga itikadi itakayovutia new brains katika chama chake bado unatarajia kuwa na kizazi cha maendeleo hapo? Ni hasara kwa Afrika kuwa na vizazi hivyo vilivyopo.

sawa, tuna tatizo la msingi mpendwa
 
Ni ubora duni wa wanasiasa pamoja na mpangilio hovyo wa vyama vyetu. CCM ina mtindo ambao uliigwa na vyama vingine. Yaani ukiwa Mkiti basi wewe ni yote. Unafuta na kuingiza watu wapya upendavyo. Kwa CCM labda tusema ni uraibu wa chama Kimoja, sasa CDM, UDP, TLP imekuwaje nao wanakuwa na abosolute power kwa wengine?

Namkumbuka Cheyo akisema, ".... Jidulamabambasi, OUT!" Akifukuza wanachama kama wapangaji wake. Leo hii Mbowe anatuhumiwa wizi/matumizi hovyo ya chama na mali zake, yeye kimya! Haoni sababu ya kujibu kwa kuamini ni chama chake, yeye ni supreme. Lipumba anaachisha watu uanachama, watu kimya na wengine wanalazimika kujikomba ili awapende.

Swali ni je, Tuendelee kulea wanasiasa kwa kodi zetu wakati ubora wao ni duni kiasi hiki?
Umeamua kujitoa ufahamu tu! Hakuna tatizo ndani ya vyama zaidi ya chama tawala kutengeneza mazingira haya ya kisiasa tunayoyaona kwa kutumia kodi zetu.
 
Infact silaumu mtu yeyote. Lakini si wapinzani tu ndio wenye shida. Ni vyama vyote ikiwemo tawala na whole institutional set iliyopo.

Sasa kama mpaka mwaka 2018, bado yupo mtu anaamini katika Ujamaa au anaamini katika kuhama vyama badala ya kujenga itikadi itakayovutia new brains katika chama chake bado unatarajia kuwa na kizazi cha maendeleo hapo? Ni hasara kwa Afrika kuwa na vizazi hivyo vilivyopo.
Ati ujamaa, nilimshangaa bashiru! Hii ni dhana ya kufikirika.....,
 
Back
Top Bottom