Halua mbaya kuna demu Wangu toka zenji Mtoto Wa shekh aliniletea nimezionja haziko vizur hata kidogo ni Kama ufuta plus Kama gundi sijui nini kile.
Ina corn flour, sukar, samli au mafuta, hiliki, kungumanga, majani ya chai, rose water ambayo haijawa diluted, zafaran, majiHayo ni masukari guru yaliyogandishwa!!!! ni hatari kwa afya kubugia masukari mengi kwa mkupuo bora tende ni natural
Kupika halua si kazi ndogoHapana madame! Ipoje kwani?
Njonjo zote hizo ndio maana kugegedana mwisho kagoli kamoko tu!Ina corn flour, sukar, samli au mafuta, hiliki, kungumanga, majani ya chai, rose water ambayo haijawa diluted, zafaran, maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli halua inapewa sana sifa ila ni ya ovyo sana...
Mara 1000 X 123444 tende kuliko halua...
We jamaa umelishwa MAKAPI YA HALUA NA SI HALUA!hivyo hivyo mtoa ...Mada " "hamna kitu ...kama gundi bwana""...huwaga siiwezi aisee....
yaani jinsi ulivyosema kama unauhakika vileWe jamaa umelishwa MAKAPI YA HALUA NA SI HALUA!
Nadhani la muhimu hapa ni je, Kuna nutrients Gani kwenye halua? Aina Gani ya Sukari imo? Je, ni Ile MBAYA kwa afya?Ulimbukeni tu unamsumbua, akikuwa taacha. Watu kama wa sifa huwa kiukweli hana hata huyo demu, yupo desperate tu.