Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,313
- 105,142
Baada ya gharama za vifurushi kupanda leo nikaamua kujiunga bundle la chuo la 1500 nimepewa 1GB na MB 500 zinazojitegemea kwa ajili ya youtube pekee. Kwa hiyo hapa jumla nikawa na 1.5GB
Sasa kinachonishangaza nimejaribu kuangalia video youtube (nikitegemea zitatumika zile MB500) ambazo nilipewa kwa ajili ya youtube ila cha ajabu nilipoangalia salio zile MB za youtube ziko vile vile halafu zimepungua MB ambazo sio maalumu kwa youtube.
Hapo ndio nikastuka na kujiuliza kuwa ina maana ili hizi MB 500 zitumike inatakiwa lile bundle lako la GB1 liwe limeisha kwanza?
Sasa kinachonishangaza nimejaribu kuangalia video youtube (nikitegemea zitatumika zile MB500) ambazo nilipewa kwa ajili ya youtube ila cha ajabu nilipoangalia salio zile MB za youtube ziko vile vile halafu zimepungua MB ambazo sio maalumu kwa youtube.
Hapo ndio nikastuka na kujiuliza kuwa ina maana ili hizi MB 500 zitumike inatakiwa lile bundle lako la GB1 liwe limeisha kwanza?