Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,631
- 39,613
Ni za zamani zaidi, LG g8x ama op7 ni bora zaidi kushinda hizo kila idara.Vipi samsung note 8/9?
Na hizo hapo note 9 inakaa na chaji zaidi.
S10/note 10 ndio equivalent ya op7 na lg g8x.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni za zamani zaidi, LG g8x ama op7 ni bora zaidi kushinda hizo kila idara.Vipi samsung note 8/9?
ShukraniNdio ina band zote, most of time flagship zinakuwa na band karibia zote.
Asante lakini LG upande wa mobile division si wameshut down? Vipi simu itapata wapi support kma inahitajika kufanya hivyo??Ni za zamani zaidi, LG g8x ama op7 ni bora zaidi kushinda hizo kila idara.
Na hizo hapo note 9 inakaa na chaji zaidi.
S10/note 10 ndio equivalent ya op7 na lg g8x.
Samsung A series zinahiyo tech ?Hii ni mbps ambayo 15Mbps ni sawa na roughly 2MBps. Unagawanya kwa 8.
Mkuu sijajua eneo ila kuna simu hazina hizo tech,
Line yangu ya Halotel imezingua ila ningetest kuangalia, nikipata muda nitasajili nyengine.
Kifupi mtu mwenye simu yenye Mimox2 ama mimox4 anaweza kuwasiliana na antenna 2 ama 4 kwa mpigo na zikazidisha speed anayo pata.
Pia ukiwa na simu ya lte Advance (4G+) ina maana unakuwa haushei mtandao na wenzako wa 4g kawaida, mnakuwa wenyewe wa 4g+ hivyo pia load ya network inakuwa ndogo ukiwa na tech za kisasa.
baadhi, zinazotumia soc nzuri kama A52 unaikuta, ila hizi zinazoshare soc na kina Tecno hazina.Samsung A series zinahiyo tech ?
ndio ila wamepromise kuzi support mpaka muda wake utakapoisha. ndio maana pia unazipata simu zao kwa bei rahisi sababu wengi wana clear stock. sometime unapata lg g8x mpya kabisa kwa $300 unafungua mwenyewe box.Asante lakini LG upande wa mobile division si wameshut down? Vipi simu itapata wapi support kma inahitajika kufanya hivyo??
Aliexpress nyingi wanauza refurbished vipi zinafaa?
Unashauri wapi pakuagiza mpaka tanzania?ndio ila wamepromise kuzi support mpaka muda wake utakapoisha. ndio maana pia unazipata simu zao kwa bei rahisi sababu wengi wana clear stock. sometime unapata lg g8x mpya kabisa kwa $300 unafungua mwenyewe box.
kuhusu Aliexpress mkuu nunua at your own risk, hakuaminiki kabisa hasa kwa vitu ambavyo asili yake sio china.
amazon na freight forwarder kama aramex. ama site yoyote ya USA ambayo wanakubali kurudisha bidhaa.Unashauri wapi pakuagiza mpaka tanzania?
Simu gani unatumia mkuu?Mtoa mada hata sikuelewi.Hii ni speed ya Halotel 4G hapa Kasulu.Sidhani kama kuna mtandao mwingine unaifikia hii speed.
View attachment 1813483
Samsung Galaxy J7 ProSimu gani unatumia mkuu?
Nafikiri inatokana na sehemu ulipo, unajua tuliambizana kuwa halotel ina unafuu wa bundles , inawezekana wengi walinunua line za halotel na hivyo kuna msongamano baadhi ya maeneoMtoa mada hata sikuelewi.Hii ni speed ya Halotel 4G hapa Kasulu.Sidhani kama kuna mtandao mwingine unaifikia hii speed.
View attachment 1813483
Inategemea na sehemu uliyopo mkuu, Halotel 4G inapatikana mjini pekeake(Kigoma road),ukifika Sofya na kushuka chini ni mwendo wa 3G na sehem nyingne ni EMtoa mada hata sikuelewi.Hii ni speed ya Halotel 4G hapa Kasulu.Sidhani kama kuna mtandao mwingine unaifikia hii speed.
View attachment 1813483
Wiki iliyopita wameongeza mitambo ya 4G kwenye minara mingine.Kutokea Sofya,stand mpya mpaka kwa Shayo kote ni 4G.Pia Mwilavya inapatikana.Hii speed nimepata jana hapa Halmashauri ya mji signal ziko juu sana hapo.Inategemea na sehemu uliyopo mkuu, Halotel 4G inapatikana mjini pekeake(Kigoma road),ukifika Sofya na kushuka chini ni mwendo wa 3G na sehem nyingne ni E
Weka neno hpo kwnye m51 kwa hyo bei gani ukilinganisha na zingine kwnye price tag yke mkuuamazon na freight forwarder kama aramex. ama site yoyote ya USA ambayo wanakubali kurudisha bidhaa.
Highlife vitu vyake ni vipya sio refurb, ila bei zake zimechangamka.Weka neno hpo kwnye m51 kwa hyo bei gani ukilinganisha na zingine kwnye price tag yke mkuuView attachment 1820507
Tatizo sijapenda hzi A series zinasemekana zina majnga sanaHighlife vitu vyake ni vipya sio refurb, ila bei zake zimechangamka.
M51 ni equivalent ya A52 ama A71, unless u nahitaji hio 7000mah ni vyema ukanunua A52 maana ni simu bora zaidi.
M series na A series ni wale wale Mkuu, M51 na A71 ni simu ile ile imekuwa tu rebranded.Tatizo sijapenda hzi A series zinasemekana zina majnga sana
Na wapi unaweza pata simu za samusung new brand tofauti na hao highlands kwa bei nafuu kwa hpa Tz?