Si ni kwasababu ya kasi kubwa ya internet/network yao ndio maanaHalotel matapelii kitambo mbonaa... GB 1 inaisha ndani ya nusu saaa....
Ndani ya boom parkTTCL ni mwisho wa matatizo
Wateja wengi tz, umechapia mkuu, it is tigoAcha unafki mkuu..
Voda Gani unayoiongelea.???
Hakuna mtandao wenye kasi ya uhakika ya internet kama Vodacom hapa Tanzania na ndiyo maana pamoja na mambo yao ya hovyo bado wao ndio wanawateja wengi kuliko mitandao yote kwa miaka yote hii..
itakuwa Hujakutana na airtel UNi ndio maanaSame to airtel pia saa hizi tunahamia kusikojulikana
Ewaaaa pamoja sana jembe, kumbe tuko team mojaAirtel ndo mpango mzima
Iyo ni University mkuu kwa tulio na lain wasio nazo ni taabuAirtel ndo mpango mzima
Mkuu Samahani kidogo.. Kupata hiyo menu nadial namba gan?? Maana me Pia nna line ya University ila sijaona hiyo menu kwenye *149*99#Iyo ni University mkuu kwa tulio na lain wasio nazo ni taabu
Ewaaaa pamoja sana jembe, kumbe tuko team moja
Cc.white hat
Ni motrooo arifNdani ya boom park
Natumia airtel uni mkuu, wamepunguza kila kitu, jero ulikuwa unapata gb 1 lkn kwa sasa ni mb 500 tu.itakuwa Hujakutana na airtel UNi ndio maana
mimi mbona sina laini ya chuo natumia laini ya kawaida na najiunga vifurushi vya university vizuri tuIyo ni University mkuu kwa tulio na lain wasio nazo ni taabu
piga *149*81# chagua no.4 UNI mpya utaipata hiyo menuMkuu Samahani kidogo.. Kupata hiyo menu nadial namba gan?? Maana me Pia nna line ya University ila sijaona hiyo menu kwenye *149*99#
huku ndo afadhali kwingine tabu tupuEwaaaa pamoja sana jembe, kumbe tuko team moja
Cc.white hat
ni kweli wamepunguza lakin sio sana je mtandao gani utapata MB500 kwa jeroNatumia airtel uni mkuu, wamepunguza kila kitu, jero ulikuwa unapata gb 1 lkn kwa sasa ni mb 500 tu.
Tigo mb 550 kwa 500 unapataje mkuu kwa menu ipi mzeii?Tigo raha na voda raha pia View attachment 681881View attachment 681882
TTCL mkuuni kweli wamepunguza lakin sio sana je mtandao gani utapata MB500 kwa jero
chuo au kawaida?TTCL mkuu
Ya Chuo 800Mb kwa Jerochuo au kawaida?