kyakakombo
Member
- Jun 7, 2013
- 35
- 33
Ni karibu week ya pili mtandao wa Halotel unasumbua huku kanda ya Ziwa lakini hamtuambii nini tatizo.
Hebu tuambieni maana MB zetu mpaka zinaisha muda wake network hakuna ikija inakaa dakika kadha inapotea tena
Tunaomna mseme chochote ili tujue
Hebu tuambieni maana MB zetu mpaka zinaisha muda wake network hakuna ikija inakaa dakika kadha inapotea tena
Tunaomna mseme chochote ili tujue