kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,078
- 10,380
Jamani nimeweka vocha ya shs 1000 kwenye simu, yaani vocha ya Halotel wakati nataka kujiunga na vifurushi naambiwa salio lako halitoshi.
Baadae ilibidi niangalie salio vizuri majibu ya salio ni kuwa ndugu mteja una shilingi 800 leo nimenunua vocha ya shs 500 nataka kujiunga naambiwa salio lako ni shs 369.
Jamani wadau wa Halotel hii hali ni kwangu mimi tu au kuna tatizo mahali? Nilijaribu kuwapigia huduma kwa wateja simu imeita mpaka inakata.
Baadae ilibidi niangalie salio vizuri majibu ya salio ni kuwa ndugu mteja una shilingi 800 leo nimenunua vocha ya shs 500 nataka kujiunga naambiwa salio lako ni shs 369.
Jamani wadau wa Halotel hii hali ni kwangu mimi tu au kuna tatizo mahali? Nilijaribu kuwapigia huduma kwa wateja simu imeita mpaka inakata.