Halotel Kulikoni Jamani!

Tempon

JF-Expert Member
Mar 14, 2017
234
381
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
 
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Nawaza nitupe hii Laini
mkuu kuna app ambazo huwa zinaconsume data kwenye background mfano nilishawahi kujiunga na GB1 ya voda ikaisha fasta kuja kucheki instagram pekee imekula zaidi ya MB400... chagua apps ambazo hutaki zitumie data then restict internet access
 
mkuu kuna app ambazo huwa zinaconsume data kwenye background mfano nilishawahi kujiunga na GB1 ya voda ikaisha fasta kuja kucheki instagram pekee imekula zaidi ya MB400... chagua apps ambazo hutaki zitumie data then restict internet access
Mkuu Simu hii yenye chip yao hata Instagram Situmii
 
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
usiitupe mkuu hiyo card ndio uthibitisho mkuu wa wewe kupata haki yako.
 
Yaan kama io wanaita kifurushi ya chuo ni usanii tu . siku io io ulojiunga unaambiwa hana mb
 
kwenye pc una u-torrent na kuna muvi zilikua pending kusubiri data
kuna program umeseti update automatic via wi-fi only
hapo tatizo sio halotel cheki kompyuta yako.

kwani kwenye simu usipo shea bando nako hiyo 1GB inakata fasta?
 
kwenye pc una u-torrent na kuna muvi zilikua pending kusubiri data
kuna program umeseti update automatic via wi-fi only
hapo tatizo sio halotel cheki kompyuta yako.

kwani kwenye simu usipo shea bando nako hiyo 1GB inakata fasta?
Boss Torrent zipo ila bundle ya leo asubuhi wakati nainunua Hata Laptop sijaiwasha yani haikuwa connected popote
 
Jana nimenunua Bundle la Buku 1 GB Line ya chuo haikuchuka Hata lisaa bundle likakata Nilikuwa nimeunga na PC internet Hotspot nkahisi labda window ina update automatic, Leo asubuhi nimeweka tena elfu moja nkajiunga 1 GB matokeo yake Hata lisaa halijaisha natumiwa text huna MB za kuperuzi sijaunga Simu na Pc wala sijadownload Chochote zaidi ya kuperuzi Jf, Napiga customer care ile wanataka kuniconnect na muhudumu niongee nae inakata hapo, Facebook wamefunga wall yao Nawaza nitupe hii Laini
Hao tayari.wameshapoteana.juzi nilivyosikia bosi wao kapelekwa mahakamani.fasta nikazitoa hela zangu zote.halopesa.
 
Back
Top Bottom