Haloo Haloo wanaJF.... anatakwa kunusa kwapa

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.
 
hahahaha the one and the only Mama Big..Welcome back!!
Dah hiyo ya kwapa will be back soon...:embarrassed:
 
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.

:peep::peep:
 
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.

Du, alianza kwa kunusa chupi, sasa ni kwapa!sijui kesho itakuwa nini??????let me guess..........tIGO!!!!!!!!.......ahaaaa...ahaaaaa....ahaaaaa
 
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.


Karibu tena mama kubwa..............................., karibu sana, lete michapo, ila wa leo mh , ngoja nipate kifungua kinywa nitarudi kama bado utakuwepo mama big
 
Du, alianza kwa kunusa chupi, sasa ni kwapa!sijui kesho itakuwa nini??????let me guess..........tIGO!!!!!!!!.......ahaaaa...ahaaaaa....ahaaaaa

Bacha hata tigo akitaka ni nainama si ndio raha yake jamani
 
Karibu tena mama kubwa..............................., karibu sana, lete michapo, ila wa leo mh , ngoja nipate kifungua kinywa nitarudi kama bado utakuwepo mama big

Asante sana Ferds nipo na nimejaa tele kama pishi la mchele............ leo mshefa wangu kasafiri
 
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.
mama BIG ur so fun!:whoo:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom