Tusichanganye ubunge na Halmashauri. Kuna majimbo ambayo mbunge na Halmashauri hawako Chama kimoja na mfano ni Kigoma kaskazini. Inabidi tuji-inform zaidi
Halmashauri inaendwshwa na madiwani, hivyo chama chenye madiwani wengi ndicho kinapata mwenyekiti wa baraza> Kumbuka hata mbunge ni mjumbe wa baraza la madiwani na viti maalumu vinaendana na uwiano wa madiwani kwa kila chama. Hivyo halmashauri hesabu zake zianzie hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.