Hii tabia ya wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuwataka watumishi wa umma ndani ya Halmashauri imetoka wapi?
Yaani mkuu wa wilaya anaagiza wakuu wa idara kusimamia zoezi na kuomba majina ya wachangiaji, sasa hatujui wasiochangia wafanywaje.
Pia wakuu wa idara wamekuwa wakionywa endapo atashindwa kulazimisha watumishi wa idara yake watapokonywa madaraka.
Wanatumishi wa umma huwa wanajiuliza wizara ya TAMISEMI haina bajeti kwa ajili ya mwenge?
Mh Rais piga marufuku hiki kitu,kinakera na kuudhi watumishi wa umma,kama utaratibu huu upo wa kuchangia mwenge watumishi wawe wanakatwa asilimia fulani huko hazina kwa ajili ya mwenge lakini si hii tabia ya kushupalia kuchangia.
Yaani mkuu wa wilaya anaagiza wakuu wa idara kusimamia zoezi na kuomba majina ya wachangiaji, sasa hatujui wasiochangia wafanywaje.
Pia wakuu wa idara wamekuwa wakionywa endapo atashindwa kulazimisha watumishi wa idara yake watapokonywa madaraka.
Wanatumishi wa umma huwa wanajiuliza wizara ya TAMISEMI haina bajeti kwa ajili ya mwenge?
Mh Rais piga marufuku hiki kitu,kinakera na kuudhi watumishi wa umma,kama utaratibu huu upo wa kuchangia mwenge watumishi wawe wanakatwa asilimia fulani huko hazina kwa ajili ya mwenge lakini si hii tabia ya kushupalia kuchangia.