Halmashauri ya Muheza; Kwanini hamuwapi watumishi mishahara na pesa za kujikimu?

Unkwn

Member
Feb 20, 2012
36
3
Habari waungwana,

Hivi ni sahihi kweli kinachofanywa na hii halmashauri ya Muheza, yani imeajiri watumishi halafu haiwapi stahiki zao kama pesa za kujijimu na hata mishahara yao.

Ndvyo utaratibu ulivyo ama ni uzembe tu wa wakuu pale ofisini. Watumishi wake wanahangaika tu hawana chochote wanachopata na kazi ama majukumu wanaendelea kupewa is it fair kweli.

Nawasilisha kwenu wadau tujadiliane hili suala. Ni kweli sera nikuchapa kazi lakini kuchapa kazi bila haki za msingi kwa mtumishi kweli inawezekana watumishi waishije, wale nini? Ama ndiyo weledi huo unasemwa. Mkurugenzi hana cha kusema, Afisa utumishi naye ni hivyohvyo maana yake ni ipi?
 
Habari waungwana,

Hivi ni sahihi kweli kinachofanywa na hii halmashauri ya Muheza, yani imeajiri watumishi halafu haiwapi stahiki zao kama pesa za kujijimu na hata mishahara yao.

Ndvyo utaratibu ulivyo ama ni uzembe tu wa wakuu pale ofisini. Watumishi wake wanahangaika tu hawana chochote wanachopata na kazi ama majukumu wanaendelea kupewa is it fair kweli.

Nawasilisha kwenu wadau tujadiliane hili suala. Ni kweli sera nikuchapa kazi lakini kuchapa kazi bila haki za msingi kwa mtumishi kweli inawezekana watumishi waishije, wale nini? Ama ndiyo weledi huo unasemwa. Mkurugenzi hana cha kusema, Afisa utumishi naye ni hivyohvyo maana yake ni ipi?
Mkuu sheria ya Utumishi inasema kama serikali imekupa ajira na ikakupangia kituo cha Kazi inatakiwa ikupe pesa ya kujikimu kupitia ofisi ya DED.

Sheria inasema hairuhusiwi kuondoka Halmashauri kwenda kituo cha Kazi bila kuchukua pesa ya kujikimu.full stop.

Pesa ya kujikimu ni haki ya mtumishi kisheria. Ukajuchanganya ukaondoka tuu imekula kwako...,maana wanatabia ya kusema tutakulipa baadae ukishafika kituoni.
 
Habari waungwana,

Hivi ni sahihi kweli kinachofanywa na hii halmashauri ya Muheza, yani imeajiri watumishi halafu haiwapi stahiki zao kama pesa za kujijimu na hata mishahara yao.

Ndvyo utaratibu ulivyo ama ni uzembe tu wa wakuu pale ofisini. Watumishi wake wanahangaika tu hawana chochote wanachopata na kazi ama majukumu wanaendelea kupewa is it fair kweli.

Nawasilisha kwenu wadau tujadiliane hili suala. Ni kweli sera nikuchapa kazi lakini kuchapa kazi bila haki za msingi kwa mtumishi kweli inawezekana watumishi waishije, wale nini? Ama ndiyo weledi huo unasemwa. Mkurugenzi hana cha kusema, Afisa utumishi naye ni hivyohvyo maana yake ni ipi?
pole.hujaeleza kuwa mshahara upi kwa waajiriwa wapya au vipi!kwa waajiriwa wapya serikalini mchakato unahusisha hazina na wanaanza mchakato mara unapolipoti kuepusha kulipa mtu ambaye hayuko kazini.
zamani ilikuwaga kati ya miezi sita na miaka 3 unakuwa uko kwenye system, na changamoto ilikuwa wafanyakazi wa serikali kuu zaidi walioko mikoani na mawilayani.
kuhusu posho ni suala la bajeti ya mamlaka husika.siku hizi kuhamisha fungu la matumizi hairuhusiwi.
 
Mlifkisha malalamiko yenu kwa mkurugenzi!? Kuna ofisi ya malalamiko hapo vile vile mnaweza fikisha dai lenu. Kumekuwa na tabia ya watu kulalamika mitandaoni badala ya kuchukua hatua km vile serikali inafanya kazi thru social networks!
 
pole.hujaeleza kuwa mshahara upi kwa waajiriwa wapya au vipi!kwa waajiriwa wapya serikalini mchakato unahusisha hazina na wanaanza mchakato mara unapolipoti kuepusha kulipa mtu ambaye hayuko kazini.
zamani ilikuwaga kati ya miezi sita na miaka 3 unakuwa uko kwenye system, na changamoto ilikuwa wafanyakazi wa serikali kuu zaidi walioko mikoani na mawilayani.
kuhusu posho ni suala la bajeti ya mamlaka husika.siku hizi kuhamisha fungu la matumizi hairuhusiwi.
mkuu cjaelewa,yaan miez 6 bila mshahara?
VP MBNA wa kada ya afya tangu oktoba hawajapewa posho wala mshahara? ni uungwana?
 
Mlifkisha malalamiko yenu kwa mkurugenzi!? Kuna ofisi ya malalamiko hapo vile vile mnaweza fikisha dai lenu. Kumekuwa na tabia ya watu kulalamika mitandaoni badala ya kuchukua hatua km vile serikali inafanya kazi thru social networks!
sii kweli acha kupotosha
watumishi wapya wameripoti,wamesainishwa mikataba na kufungua akaunti benk wakaambiwa watapewa posho hadi Leo hawajapewa hata sent,sasa walalamike wapi?
kada ya afya tangu October walipoajiriwa hadi Leo hawajapew kitu acha kutetea ujinga
 
kwa mawazo yangu nahisi serikali haina hela
yaani hata posho tu ya kujikimu watumishi wapya hawajapewa achilia mbali mshahara dah
 
sii kweli acha kupotosha
watumishi wapya wameripoti,wamesainishwa mikataba na kufungua akaunti benk wakaambiwa watapewa posho hadi Leo hawajapewa hata sent,sasa walalamike wapi?
kada ya afya tangu October walipoajiriwa hadi Leo hawajapew kitu acha kutetea ujinga
Luambo makiadi, vipi swahiba mbn unajibu usichoulizwa!? Wapi nmesema hamjasainishwa mikataba!? Na nan kakwambia hamjafungua akaunti!! Na wapi au unaweza kuainisha ktk andiko langu wapi nmetetea au hata kuonesha nia ya kutaka kuteteta!? Nmeuliza je, mmefikisha madai na malalamiko yenu kwa mkurugenzi kabla ya kuja hapa JF!? Nikasema tena.... Je, mnafahamu hapo Muheza halmashauri kuna ofisi maalumu ya "malalamiko" in case ukishindwa kumuona mkurugenzi. Nikatoa tena indhari, ya kwamba watu sasa wamefanya mazoea, mtu anaumwa kichwa anakuja kwenye mitandao ya kijamii anaandika "am sick jaman niombeeni" anataka apone kwa huruma za watu cyo dawa! Wafanyakazi wana madai ya msingi badala ya kuyafikisha sehemu husika wanakuja JF. JF iwe sehemu ya mwisho ya kuwaanika viongozi ambao ama kwa makusudi,uzembe au kibri hawataki kutekeleza majukumu yao. Hivyo mabosi zao wakiona kesho tu hatua zinachukuliwa. Makiadi penda kusoma na kusikiliza zaidi kuliko kusema na kuandika pengine utakuwa mtumishi mzuri.
 
Luambo makiadi, vipi swahiba mbn unajibu usichoulizwa!? Wapi nmesema hamjasainishwa mikataba!? Na nan kakwambia hamjafungua akaunti!! Na wapi au unaweza kuainisha ktk andiko langu wapi nmetetea au hata kuonesha nia ya kutaka kuteteta!? Nmeuliza je, mmefikisha madai na malalamiko yenu kwa mkurugenzi kabla ya kuja hapa JF!? Nikasema tena.... Je, mnafahamu hapo Muheza halmashauri kuna ofisi maalumu ya "malalamiko" in case ukishindwa kumuona mkurugenzi. Nikatoa tena indhari, ya kwamba watu sasa wamefanya mazoea, mtu anaumwa kichwa anakuja kwenye mitandao ya kijamii anaandika "am sick jaman niombeeni" anataka apone kwa huruma za watu cyo dawa! Wafanyakazi wana madai ya msingi badala ya kuyafikisha sehemu husika wanakuja JF. JF iwe sehemu ya mwisho ya kuwaanika viongozi ambao ama kwa makusudi,uzembe au kibri hawataki kutekeleza majukumu yao. Hivyo mabosi zao wakiona kesho tu hatua zinachukuliwa. Makiadi penda kusoma na kusikiliza zaidi kuliko kusema na kuandika pengine utakuwa mtumishi mzuri.
kwahiyo mkurugenz hajui kuwa watumishi wake hawajapewa kitu? sasa yeye c ndio.aliesema nendeni vituoni hela mtapewa? kwa mantiki hiyo unasemaje malalamiko haya hayajui?
 
Kwan rais hajui km kuna wahitimu tangu 2015 hawajaajiriwa mpk xax, mkurugenzi wa muheza hajui km watumishi wake mpk leo 2015/2016 hawajapata promotions!? Hoja cyo mkurugenzi au rais kujua/ kutojua, hoja umefanya nini kudai haki yako kumbuka haki inadaiwa na haiombwi! Je hao ajira mpya wanajua status yao!? Ndio ili wajue lazma waende front k mkurugenzi wapate mbivu na mbichi pengine hlmshaur wana sababu zao za msingi. Na ndio maana nkauliza je mlienda kwa bosi wenu mkurugenzi!? Usiwe mtoto kk, kwamba unategemea kimya chako kikusemee. Wananchi wa DRC Congo wanaingia mtaani kuandamana jiulize Kabila hajui km muhula wake umeisha wa urais na anatakiwa aitishe uchaguzi, nenda Uganda na Burundi the same story! don't be too naive na dunia mkuu.dunia inaangamia cyo kwa dhambi na maovu, hapana. "Dunia inaangamia kwa watu wema kuendelea kukaa kimya." semeni, pambaneni. Subsistance allowance ni stahiki yenu. Acha kulialia hapa. Mfate nenda front hata ww as individual mkabili mkurugenzi....tena ukiwa na standing order kwapani umuulize kwann hujalipwa mpk sasa pesa ya kujikimu.
 
Kwan rais hajui km kuna wahitimu tangu 2015 hawajaajiriwa mpk xax, mkurugenzi wa muheza hajui km watumishi wake mpk leo 2015/2016 hawajapata promotions!? Hoja cyo mkurugenzi au rais kujua/ kutojua, hoja umefanya nini kudai haki yako kumbuka haki inadaiwa na haiombwi! Je hao ajira mpya wanajua status yao!? Ndio ili wajue lazma waende front k mkurugenzi wapate mbivu na mbichi pengine hlmshaur wana sababu zao za msingi. Na ndio maana nkauliza je mlienda kwa bosi wenu mkurugenzi!? Usiwe mtoto kk, kwamba unategemea kimya chako kikusemee. Wananchi wa DRC Congo wanaingia mtaani kuandamana jiulize Kabila hajui km muhula wake umeisha wa urais na anatakiwa aitishe uchaguzi, nenda Uganda na Burundi the same story! don't be too naive na dunia mkuu.dunia inaangamia cyo kwa dhambi na maovu, hapana. "Dunia inaangamia kwa watu wema kuendelea kukaa kimya." semeni, pambaneni. Subsistance allowance ni stahiki yenu. Acha kulialia hapa. Mfate nenda front hata ww as individual mkabili mkurugenzi....tena ukiwa na standing order kwapani umuulize kwann hujalipwa mpk sasa pesa ya kujikimu.
sio muheza tu,halmashauri zote waajiriwa wapya hawajapewa kitu
halmashaur nyingne wametumia uungwana kuwakopesha
tatizo n hela hakuna sio ujidanganye kuwa mkurugenz hajui hayo madai
 
sio muheza tu,halmashauri zote waajiriwa wapya hawajapewa kitu
halmashaur nyingne wametumia uungwana kuwakopesha
tatizo n hela hakuna sio ujidanganye kuwa mkurugenz hajui hayo madai
Nan kakwambia mkurugenzi hajui km anadaiwa!? Hv kijana unaelewa niandikacho kweli au unacoment then ndio unasoma!? Maana unanilisha maneno tu.
Naomba niishie hapa km hujanielewa bx.
Gud tym.
 
Nan kakwambia mkurugenzi hajui km anadaiwa!? Hv kijana unaelewa niandikacho kweli au unacoment then ndio unasoma!? Maana unanilisha maneno tu.
Naomba niishie hapa km hujanielewa bx.
Gud tym.
mkurugenz anajua Madai na watumishi walishapeleka malalamko
tatizo hela za kulipa hana
usijifiche kwenye hoja hafifu kuwa hawajapeleka malalamk
 
Nan kakwambia mkurugenzi hajui km anadaiwa!? Hv kijana unaelewa niandikacho kweli au unacoment then ndio unasoma!? Maana unanilisha maneno tu.
Naomba niishie hapa km hujanielewa bx.
Gud tym.
mkurugenz anajua Madai na watumishi walishapeleka malalamko
tatizo hela za kulipa hana
usijifiche kwenye hoja hafifu kuwa hawajapeleka malalamk
 
Nan kakwambia mkurugenzi hajui km anadaiwa!? Hv kijana unaelewa niandikacho kweli au unacoment then ndio unasoma!? Maana unanilisha maneno tu.
Naomba niishie hapa km hujanielewa bx.
Gud tym.
mkurugenz anajua Madai na watumishi walishapeleka malalamko
tatizo hela za kulipa hana
usijifiche kwenye hoja hafifu kuwa hawajapeleka malalamk
 
Kwa kweli inauma sana kama halo ndio hiyo kwa sisi tulioko vyuoni tutegemee kujiajiri tu.
 
Back
Top Bottom