Katika hali ya kusikitisha ,halmshauri ya mji wa Moshi inayoonngozwa na chadema wameamua kwa makusudi kabisa kuwafukuza wapiga debe wote katika kituo cha mabasi ya abiria waendao mikoani na pembezoni mwa mji.Uamuzi huu ni wa ajabu sana haswa ukizingatia ya kwamba vijana zaidi ya mia moja wataathirika na uamuzi huu wa ajabu kabisa