Katika mpango wa upimaji wa maeneo ya makazi ya mji katika sehemu ya Kinyerezi, halmashauri ya Ilala imekamilisha mpango wake wa kuwanyanganya wananchi wanyonge ardhi yao kwa lengo la kujipatia kipato kikubwa.
Haiwezekani kwa kiwanja cha chini ya sq m 1600 mwenye kiwanja akitaka kubakia na kiwanja chake basi anatakiwa kuwalipa halimashauri ya ilala zaidi ya shs mil 8 lakini halmashauri hiyo hiyo ikichukua kiwanja hicho toka kwa mwenye kiwanja kutaka kumlipa fidia ya wastani wa laki tatu.
Daima wanchi walizoea kutapeliwa na watu binafsi lakini kitendo cha serikali kuanza kutapeli wananchi wake wa kinyerezi ni tukio jipya na la kushangaza sana.
Haiwezekani kwa kiwanja cha chini ya sq m 1600 mwenye kiwanja akitaka kubakia na kiwanja chake basi anatakiwa kuwalipa halimashauri ya ilala zaidi ya shs mil 8 lakini halmashauri hiyo hiyo ikichukua kiwanja hicho toka kwa mwenye kiwanja kutaka kumlipa fidia ya wastani wa laki tatu.
Daima wanchi walizoea kutapeliwa na watu binafsi lakini kitendo cha serikali kuanza kutapeli wananchi wake wa kinyerezi ni tukio jipya na la kushangaza sana.