Sasa habari ziliandikwa kwenye Gazeti la Uhuru sijui ni gazeti jipya hilo halijulikani kabisa ya nini kukanusha maana tulikuwa hatufahamu hiyo habari kabisa... sasa ndio tumetambua Walichapana... sasa nani alishinda hizo sparing
Hivi habari inayoandikwa na hilo gazeti inaminika maana waandishi wake hata siku moja hawafanani na waandishi wenzao siku ukikuta heading zinafanana na magazeti mengine ujue mwenyekiti kiti wao kamtumbua mtu vinginevyo habari zao nyingi ni za vijiweni
Anakanusha nini gazeti liliandika nini. Gazeti la Uhuru ni makini na ni kongwe lina maadili ya uandishi so haya ya matukio na uchochezi. Walichapana nakonde kikao kikaahirishwa. Huyu anasema palitokea vurugu kikao kikaahirishwa. Huyu nakba hata hajui Kiswahili. Lakini bado hata hili anapata sapoti kwamba eti gazeto halijulikani, sasa wewe unajiona una akili kuliko mlalamikaji na kuliko wasomaji wa Uhuru na JF. Ipo shida kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.