Tibalikwenda
JF-Expert Member
- Aug 27, 2020
- 285
- 595
Mimi ni afisa wa serikali wilaya x nililipa pesa mbichi kwa watumishi 3 baada ya kukusanya Mapato ya minada ya mifugo wilaya x jumla y fedha tsh.2,500,000/:
Ninadaiwa kwenye poss machine yangu mm nimekataa kuzilipa Mana zimetumika kwa idhini ya mkurugenzi sasa nimeamriwa na pccb nilipe la sivyo nipelekwe mahakamani kwa kosa la kutumia fedha ya serikali sasa naombeni ushauri wenu je Hawa pccb nitawashinda mahakaman au watanishinda?
Ninadaiwa kwenye poss machine yangu mm nimekataa kuzilipa Mana zimetumika kwa idhini ya mkurugenzi sasa nimeamriwa na pccb nilipe la sivyo nipelekwe mahakamani kwa kosa la kutumia fedha ya serikali sasa naombeni ushauri wenu je Hawa pccb nitawashinda mahakaman au watanishinda?