Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Wanamuonea bure kumtimua Dovutwa kwa kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu kujitoa huko kwa UPDP ni just saving faces, kuna vyama havina the capacity and resources za kushiriki uchaguzi, viko hoi, dholfu, hoi bin taaban, hivyo kutangaza kujitoa ni nusura yake, chama tangu kuundwa hakijawahi kushinda hata mtaa mmoja, unategemea nini?.
P
P