NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Kilichowakuta wafanya biashara na wachuuzi wa CEMENT pale DEPOT ya Ubungo, kimenikumbusha enzi za UKOLONI kabisa.
Kisa chenyewe kiko hivi: Wajasili ya mali ,wachuuzi na wasakatonge kwa njia ya Uuzaji wa cement wamefika pale DEPOT kuanzia saa 9 alfajiri wakiwa na lengo la kuwahi namba ili wapate cement itakayo sababisha kupata tonge lake la kila siku.
Baada ya kuwahi namba ile huku MHINDI au MMILIKI wa ile DEPOT amefika saa 1:30 asubuhi watu hulazimika kuhesabu namba ili aweze kuuza cement nilipo Godown, na kukawa na Magari makubwa ya cement zaidi ya 10 mle Godown.
MHINDI au MMILIKI wa ile DEPOT akaagiza mgambo kuhesabu namba ya wataopata CEMENT wasiozidi watu 31 tu,nao kulingana na uhaba wa CEMENT kwa kipindi hiki inabidi watu hao 31 wapate si zaidi ya mifuko 100 tu kwa kila atakaye wahi kupata namba hiyo asubuhi.
Watu wakahesabiwa mpka namba 30 ilipofika namba 31 zikafungana kwa watu wawili. Ati hapo anatoka MHINDI kwa manyanyaso makubwa kufukuza watu wote watoke nje na kusema hataki tena kuuza CEMENT ile mpka kesho.
Zingatia watu wamewahi namba tangia saa 9 na 10 alfajiri kisha MHINDI/MMILIKI wa DEPOT anawafukuza kama MBWA KWENYE NCHI HURU KAMA TZ.
mpka jioni hii hakuna mfanyabiashara wa mchuuzi wa Cement aliyepata cement. kwa madai ati MHINDI/MMLIKI WA DEPOT KAKASIRIKA WATU NI WENGI WANAOTAKA CEMENT.
Swali kwa wenye mamlaka nini kimetokea
Cement kuwa dili kiasi hiki.
Na je Jeuli ya MHINDI huyu MMILIKI wa DEPOT YA CEMENT UBUNGO ANAIPATA
WAPI? KWENYE NCHI HII YA MAGU.
JE JAMBO KAMA HILI HALIWEZI KUWA CHANZO CHA UVUNJIFU WA AMAN NA KUIDHALILISHA SERIKALI?
NAANDIKA HII KITU KWA KUWA HASIRA ZA WANANCHI WALE WENYE MAHITAJI YA CEMENT ILIKUWA YA HATARI SANA .
Kisa chenyewe kiko hivi: Wajasili ya mali ,wachuuzi na wasakatonge kwa njia ya Uuzaji wa cement wamefika pale DEPOT kuanzia saa 9 alfajiri wakiwa na lengo la kuwahi namba ili wapate cement itakayo sababisha kupata tonge lake la kila siku.
Baada ya kuwahi namba ile huku MHINDI au MMILIKI wa ile DEPOT amefika saa 1:30 asubuhi watu hulazimika kuhesabu namba ili aweze kuuza cement nilipo Godown, na kukawa na Magari makubwa ya cement zaidi ya 10 mle Godown.
MHINDI au MMILIKI wa ile DEPOT akaagiza mgambo kuhesabu namba ya wataopata CEMENT wasiozidi watu 31 tu,nao kulingana na uhaba wa CEMENT kwa kipindi hiki inabidi watu hao 31 wapate si zaidi ya mifuko 100 tu kwa kila atakaye wahi kupata namba hiyo asubuhi.
Watu wakahesabiwa mpka namba 30 ilipofika namba 31 zikafungana kwa watu wawili. Ati hapo anatoka MHINDI kwa manyanyaso makubwa kufukuza watu wote watoke nje na kusema hataki tena kuuza CEMENT ile mpka kesho.
Zingatia watu wamewahi namba tangia saa 9 na 10 alfajiri kisha MHINDI/MMILIKI wa DEPOT anawafukuza kama MBWA KWENYE NCHI HURU KAMA TZ.
mpka jioni hii hakuna mfanyabiashara wa mchuuzi wa Cement aliyepata cement. kwa madai ati MHINDI/MMLIKI WA DEPOT KAKASIRIKA WATU NI WENGI WANAOTAKA CEMENT.
Swali kwa wenye mamlaka nini kimetokea
Cement kuwa dili kiasi hiki.
Na je Jeuli ya MHINDI huyu MMILIKI wa DEPOT YA CEMENT UBUNGO ANAIPATA
WAPI? KWENYE NCHI HII YA MAGU.
JE JAMBO KAMA HILI HALIWEZI KUWA CHANZO CHA UVUNJIFU WA AMAN NA KUIDHALILISHA SERIKALI?
NAANDIKA HII KITU KWA KUWA HASIRA ZA WANANCHI WALE WENYE MAHITAJI YA CEMENT ILIKUWA YA HATARI SANA .