Elections 2010 Halmashauri hizi zijiandae kufunga mkanda

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Maono yangu miaka mi5 ijayo:halmashauri zilizoleta mabadiliko na kutwaliwa na chadema zijiandae kufunga mkanda kwani iwapo CCM itashika dola basi ni wazi itatumia mbinu zote chafu ili kuonyesha upinzani ni dhaifu.ni wazi kuwa CCM imepata pigo kupoteza majimbo yenye ushawishi ktk kila hali especially uchumi na siasa ktk Tanzania na EAC kwa ujumla.kwa CCM ,kuachia majimbo haya yafanikiwe ni sawa na kusign death certificate kabla ya 2015.tutegemee kuona msaada kutoka central goverment ukipungua,msuguano kati ya pande hizi mbili kuwa mkubwa.mfano wa haya nisemayo upo;ni hivi karibuni nchini uganda wameamua kurudisha mamlaka za majiji chini ya serikali kuu.kulikua na msuguano mkali kati pande hizi mbili kwa sababu KCC(KAMPALA CITY COUNCIL) iko chini ya upinzani.hivyo maoni yangu kwa wananchi na viongozi wa sehemu husika wawe tayari kwa challenge hii inayokuja,watahitaji 'kufunga mkanda' kupambana ,kuwa majasiri zaidi,wavumilivu na wabunifu ili kujiletea maendeleo yao wakiwa huru dhidi ya makucha ya mafedhuli na mafisadi."mapambano ya kuikomboa Tanganyika(zanzibar ni nchi huru) ndio yameanza.umahiri waliounyesha na watakaonyesha kwa kipindi kijacho cha 5yrs utakuwa ni chachu ya mabadiliko kwa taifa hili.VIVA! ARUSHA ,MBEYA MWANZA.....mapambano yaendelee mpaka kieleweke.naomba kuwasilisha!
 
Maono yangu miaka mi5 ijayo:halmashauri zilizoleta mabadiliko na kutwaliwa na chadema zijiandae kufunga mkanda kwani iwapo CCM itashika dola basi ni wazi itatumia mbinu zote chafu ili kuonyesha upinzani ni dhaifu.ni wazi kuwa CCM imepata pigo kupoteza majimbo yenye ushawishi ktk kila hali especially uchumi na siasa ktk Tanzania na EAC kwa ujumla.kwa CCM ,kuachia majimbo haya yafanikiwe ni sawa na kusign death certificate kabla ya 2015.tutegemee kuona msaada kutoka central goverment ukipungua,msuguano kati ya pande hizi mbili kuwa mkubwa.mfano wa haya nisemayo upo;ni hivi karibuni nchini uganda wameamua kurudisha mamlaka za majiji chini ya serikali kuu.kulikua na msuguano mkali kati pande hizi mbili kwa sababu KCC(KAMPALA CITY COUNCIL) iko chini ya upinzani.hivyo maoni yangu kwa wananchi na viongozi wa sehemu husika wawe tayari kwa challenge hii inayokuja,watahitaji 'kufunga mkanda' kupambana ,kuwa majasiri zaidi,wavumilivu na wabunifu ili kujiletea maendeleo yao wakiwa huru dhidi ya makucha ya mafedhuli na mafisadi."mapambano ya kuikomboa Tanganyika(zanzibar ni nchi huru) ndio yameanza.umahiri waliounyesha na watakaonyesha kwa kipindi kijacho cha 5yrs utakuwa ni chachu ya mabadiliko kwa taifa hili.VIVA! ARUSHA ,MBEYA MWANZA.....mapambano yaendelee mpaka kieleweke.naomba kuwasilisha!

Of course, this was the case hata Harare Zimbabwe for some 10 yrs.
 
Ndivyo itakavyokuwa but nonsense. Karatu , na moshi mjini for the past 5 years wamefunga mkanda? Wakitaka tutaenda kwa jirani kuomba chumvi
 
Jamani Naomba Mnisaidie kufahama chadema wamechukua Halmashauri Ngapi? na Zipi?
 
Hizo Halmashauri zitaendelea bila ya msaada wa CCM. Acheni mawazo mgando, nchi hii itaendelea kwa spidi kubwa iwapo tu CCM itakaa kwenye "myuziamu".



'... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ..." (Godbless Lema, MP)
 
hII NI MBAYA SANA,KWANI USIPOWAPELEKEA MAENDELEO WANANCHI WALIOWACHAGUA WAPINZANI NI KUVUNJA HAKI YAO YA MSINGI YA KIKATIBA.
 
Hizo Halmashauri zitaendelea bila ya msaada wa CCM. Acheni mawazo mgando, nchi hii itaendelea kwa spidi kubwa iwapo tu CCM itakaa kwenye "myuziamu".



'... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ..." (Godbless Lema, MP)

True That,City council zote bila CCM inawezekana
 
Ndivyo itakavyokuwa but nonsense. Karatu , na moshi mjini for the past 5 years wamefunga mkanda? Wakitaka tutaenda kwa jirani kuomba chumvi

karatu wana uzoefu na msimamo.moshi mjini kuna mzee ndesamburo(aka ndesapesa).hizo nilizotaja ndio mara ya kwanza kushikwa na upinzani.
 
Kwa Mbeya mjini labda RC aliyepo atolewa jamaa ana visirani vibaya
 
Maono yangu miaka mi5 ijayo:halmashauri zilizoleta mabadiliko na kutwaliwa na chadema zijiandae kufunga mkanda kwani iwapo CCM itashika dola basi ni wazi itatumia mbinu zote chafu ili kuonyesha upinzani ni dhaifu.ni wazi kuwa CCM imepata pigo kupoteza majimbo yenye ushawishi ktk kila hali especially uchumi na siasa ktk Tanzania na EAC kwa ujumla.kwa CCM ,kuachia majimbo haya yafanikiwe ni sawa na kusign death certificate kabla ya 2015.tutegemee kuona msaada kutoka central goverment ukipungua,msuguano kati ya pande hizi mbili kuwa mkubwa.mfano wa haya nisemayo upo;ni hivi karibuni nchini uganda wameamua kurudisha mamlaka za majiji chini ya serikali kuu.kulikua na msuguano mkali kati pande hizi mbili kwa sababu KCC(KAMPALA CITY COUNCIL) iko chini ya upinzani.hivyo maoni yangu kwa wananchi na viongozi wa sehemu husika wawe tayari kwa challenge hii inayokuja,watahitaji 'kufunga mkanda' kupambana ,kuwa majasiri zaidi,wavumilivu na wabunifu ili kujiletea maendeleo yao wakiwa huru dhidi ya makucha ya mafedhuli na mafisadi."mapambano ya kuikomboa Tanganyika(zanzibar ni nchi huru) ndio yameanza.umahiri waliounyesha na watakaonyesha kwa kipindi kijacho cha 5yrs utakuwa ni chachu ya mabadiliko kwa taifa hili.VIVA! ARUSHA ,MBEYA MWANZA.....mapambano yaendelee mpaka kieleweke.naomba kuwasilisha!

Definitely... Angalia kilimanjaro ilivotupwa china JK... Sehemu kubwa na maendeleo inasukumwa na wana Kilimanjaro wenyewe.. serikali ni kzindua tu.
 
Definitely... Angalia kilimanjaro ilivotupwa china JK... Sehemu kubwa na maendeleo inasukumwa na wana Kilimanjaro wenyewe.. serikali ni kzindua tu.

Kilimanjaro ni mkoa uliotupwa na Serikali tangu enzi za Nyerere, lakini maendeleo yake hayajawahi kurudi nyuma,, zaidi yanasonga mbele kila siku.. Labda Halmashauri nyingine zijifunze kutoka Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom