Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 699
Taarifa imefika ya kwamba watu wa Benghazi (ambako juzi kundi dogo lilishambilia ubalozi wa Marekani na kumwua balozi wa nchi hii kwa maelezo ya kupinga video iliyomkashifu mtume Muhamad) waliandamana leo kwa wengi na kufukuza kundi la "Ansar al-Shariah" mjini. Katika majengo ya kundi hili watu walioshambulia ubalozi waliwahi kukutana.
Mimi (nikiwa Mkristo) nafurahi kwa sababu tukio la leo inaonyesha si Waislamu wengi walio tayari kuleta fujo na kuonekana kama vichaa - kinyume chake watu wa Benghazi 30,000 (wote waislamu maana hakuna wasio waislamu huko) waliandamana bila silaha na kuwalazimisha wanamigambo wa "Ansar al-Shariah" kukimbia mjini.
(MODS: HII SI MCHANGO KUHUSU DINI NA SI SAHIHI KAMA MNASUKUMA KILA POST YENYE NENO "UISLAMU" KWENYE KONA YA UWANJA WA DINI".
Basi someni taarifa:
"BENGHAZI, Libya - Hundreds of protesters stormed the compound of one of Libya's strongest armed Islamic extremist groups Friday, evicting militiamen and setting fire to their building as the attack that killed the U.S. ambassador and four other Americans sparked a public backlash against armed groups that run rampant in the country and defy the country's new, post-Moammar Gadhafi leadership. Armed men at the administrative center for the Ansar al-Shariah militia, suspected to have led the Sept. 11 attack on the U.S. Benghazi consulate, first fired in the air to disperse the crowd, but eventually withdrew from the site with their weapons and vehicles after it was surrounded by waves of protesters shouting "No to militias." .....
Some 30,000 people filled a broad boulevard as they marched along a lake in central Benghazi on Friday to the gates of the headquarters of Ansar al-Shariah.
"No, no, to militias," the crowd chanted, filling a broad boulevard. They carried banners and signs demanding that militias disband and that the government build up police to take their place in keeping security. "Benghazi is in a trap," signs read. "Where is the army, where is the police?"
Other signs mourned the killing of U.S. Amb. Chris Stevens, reading, "The ambassador was Libya's friend" and "Libya lost a friend." (Chanzo: Libyans storm militia building after giant protest in wake of attack on US consulate - The Washington Post)
Someni pia taarifa juu ya tukio hilihilo kwa Protesters seek to disband Libya militias - Africa - Al Jazeera English
Mimi (nikiwa Mkristo) nafurahi kwa sababu tukio la leo inaonyesha si Waislamu wengi walio tayari kuleta fujo na kuonekana kama vichaa - kinyume chake watu wa Benghazi 30,000 (wote waislamu maana hakuna wasio waislamu huko) waliandamana bila silaha na kuwalazimisha wanamigambo wa "Ansar al-Shariah" kukimbia mjini.
(MODS: HII SI MCHANGO KUHUSU DINI NA SI SAHIHI KAMA MNASUKUMA KILA POST YENYE NENO "UISLAMU" KWENYE KONA YA UWANJA WA DINI".
Basi someni taarifa:
"BENGHAZI, Libya - Hundreds of protesters stormed the compound of one of Libya's strongest armed Islamic extremist groups Friday, evicting militiamen and setting fire to their building as the attack that killed the U.S. ambassador and four other Americans sparked a public backlash against armed groups that run rampant in the country and defy the country's new, post-Moammar Gadhafi leadership. Armed men at the administrative center for the Ansar al-Shariah militia, suspected to have led the Sept. 11 attack on the U.S. Benghazi consulate, first fired in the air to disperse the crowd, but eventually withdrew from the site with their weapons and vehicles after it was surrounded by waves of protesters shouting "No to militias." .....
Some 30,000 people filled a broad boulevard as they marched along a lake in central Benghazi on Friday to the gates of the headquarters of Ansar al-Shariah.
"No, no, to militias," the crowd chanted, filling a broad boulevard. They carried banners and signs demanding that militias disband and that the government build up police to take their place in keeping security. "Benghazi is in a trap," signs read. "Where is the army, where is the police?"
Other signs mourned the killing of U.S. Amb. Chris Stevens, reading, "The ambassador was Libya's friend" and "Libya lost a friend." (Chanzo: Libyans storm militia building after giant protest in wake of attack on US consulate - The Washington Post)
Someni pia taarifa juu ya tukio hilihilo kwa Protesters seek to disband Libya militias - Africa - Al Jazeera English