Hii pesa inayotumika kuwanunua wapinzani na inayotumika kisiasa kuwatesa wapinzani Je, haiwezi kusaidia viwanda vya sukari kuzalisha kukidhi mahitaji ya ndani na kuzalisha ziada?
Nchi kama Uganda ndio ya kuisaidia Tanzania Sukari na hawajawahi kuwa na uhaba wa sukari, je wao ndio wanayo mahitaji ya matumizi ya sukari kidogo zaidi yetu?
badala yake sisi ndio tungesaidia nchi za africa mashariki sukari maana tuna ardhi yenye rotuba na kuzalisha miwa kwa uzingi sana, Hii sukari inaonyesha kuwa ni sehem ya kusaidia kukua kwa uchumi wa nchi, huenda wengine hatujaona hivyo.
Nchi kama Uganda ndio ya kuisaidia Tanzania Sukari na hawajawahi kuwa na uhaba wa sukari, je wao ndio wanayo mahitaji ya matumizi ya sukari kidogo zaidi yetu?
badala yake sisi ndio tungesaidia nchi za africa mashariki sukari maana tuna ardhi yenye rotuba na kuzalisha miwa kwa uzingi sana, Hii sukari inaonyesha kuwa ni sehem ya kusaidia kukua kwa uchumi wa nchi, huenda wengine hatujaona hivyo.