EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,303
- Thread starter
- #21
Ni kweli.
Lakini kuna binadamu wengine wakiona mtu ana matatizo ndo wanatumia hayo hayo kuwageuza wenzao minofu!!
Amesema fuata ndoto zako.
Amesema pia kuwa heshima unaijenga mwenyewe
Matatizo yasikufanye uache ndoto yako
Matatizo yasikufanye upoteze heshima yako.