Mwenzako anaongelea pesa, wewe unasema umaarufu.
Umaarufu ndio unaleta chakula mezani ?
Kwanza wanaojiita makamanda ni nyumbu, baada ya 2025 huyo Mdee akihamia kwao bado watamuona shujaa.
Kabisa mkuu, hawa watarudi chadema na haohao makamanda watakatia viuone kuwasherekea