Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,931
- 2,367
Kwa mawazo yako pesa zote ziende kwenye miradi, mishahara utalipaje?Bajeti ya serikali ni trillion 32
Watanzania hawapendi kulipa kodi yani wafanyakazi wa uma ndio tuna lipa kila kitu kwa sababu mishahara inapitia kwenye check number, ila ukifanya starehe zako na mwanamke una taka matibabu bure