Binafsi mm sio mwana siasa ,mm ni mwalim na huwa sishabikii chama chochote na angalia mtu nikimuelewa napiga kura.Ila kwa elim yangu ndogo nilio nayo rais wetu mambo mengi anaharibu kwa sababu ya ubabe.Mm naangalia huku nilipo kwenye elim mambo yameharibika mnoo pesa ni ndogo mnoo anayoitoa,walianzisha sera ya wanafunzi waishie drs la sita hawajawah kuleta vitabu wanasema fanya vyovyote masomo yafunishwe.CHADEMA katika ubora wao wa kutumia mitandao ya habari. Unapofika wakati wa uchaguzi wale wapiga kura huwa hawaangalii mwanasiasa katika kipindi cha miaka mitano ameandika makala ngapi kwenye facebook, Twitter au Instagram.
Wao wanapima maendeleo halisi, kwa kutazama kipi kipya kimeletwa na mbunge kwenye jimbo lao.
Halima Mdee anapoteza nguvu zake mbele ya keyboard, wapiga kura wa Kawe hatutazama amefungua uzi mara ngapi mitandaoni, awe muangalifu sana.
Leo huku mitihani ya wilaya na mikoa tunaandika ubaoni,wastaafu wengi wanadai mafao yao,kibaya zaidi wanakuja kutulisha viapo eti ole wetu watoto wafeli tutakiona.Kwakweli mm nilioko huku nikiona mtu anatetea hii serikali najua yeye kashiba lakini hajui kuna mtoto wa shangazi,mjomba au mdogo wake.
Wengne tulikuwa na moyo wakijitolea kuwa wazalendo tukiiamini mungu atatulipa tunafundisha mpaka basi ili watoto waende vipaj na wengne wafaulu vzri ila shahd ni Allah tumekataa tamaa mpaka basi.Rais abadilike bwana hata mungu hampendi mtu jeuri na mwenye kibri akubali kusikiliza ushauri wa watu jamani.