Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
@MagufuliJP hivi unajua BIASHARA ya wabunge wa UKONGA na Monduli TU!!ililagharimu TAIFA shilingi 12,449,659,588.00 ? Halima James Mdee on Twitter
Eti mzalendo,inatia hasiraAlafu kuna mtu utamsikia analalamika majukwaani eti tumechezewa sana mara tumeibiwa sana!!
Ama kweli ni ile ile!!
Duh! Hapa ndipo mtu unabaki unajiuliza maswali yasiyo na majibu. Idadi ya Wabunge wa CCM ndani ya Bunge la Ndugai na Tulia inawawezesha kupitisha sheria yoyote ile hata ikiwa ya hovyo namna gani. Sasa lengo la kutumia mihela yote hiyo kuongeza idadi ya Wabunge wa aina hiyo hiyo ni nini kama si kuhalalisha ufisadi na kuimarisha udikteta?@Magufuli JP hivi unajua BIASHARA ya wabunge wa UKONGA na Monduli TU!!ililagharimu TAIFA shilingi 12,449,659,588.00 ?
Ndio gharama ya demokrasia ndugu..bahati imeback fire upande mmoja ndio maana vilio vingi.Ina maana kila uchaguzi umetucost kama nchi 4 point kadhaa bilioni kugharamikia chaguzi hizo ambazo kimsingi hazikuwa na sababu iwapo tungekuwa na sheria ya mtu akihama ahame na ubunge wake au kutokuwa na uchaguzi wowote mpk muda wa uchaguzi ufike hata kama mbunge akihama. Nadhani tunahitajika kuliangalia hili kwa umakini kuepusha hasara hii.
Maana kwa idadi ya wabunge waliohama nadhani billion za kutosha zimepotea ambazo kama zingeelekezwa kwenye kununua vifaa vya hospital maisha ya wengi yangeokolewa, kama zingeenda kuboresha elimu wadogo zetu wangesoma Vizuri na kuongeza ufaulu, kama zingeenda kununua vifaa vya uokoaji maisha ya watz wenzetu yasingepotea Kwa excuse ya giza nk
Mkuu, kwa demokrasia yetu ni mahali gani unaona kuna mapungufu au ungependa paboreshwe zaidi?Democracy ina gharama zake ndio kama hizi msiwe ma bingwa waku preach kuliko kutenda.
Sent using Jamii Forums mobile app