celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,331
- 1,059
Ni haki yake kuona aibu. Hata mimi huyu Karamaganda Kabundi niliyemtegemea siyo huyu. Amekuwa mtupu kichwani kuliko alivokuwa kabla hajaupata huo uwaziri
Wallah ukiteuliwa na sisonje anakuharibu kwanza ubongo ufanane na wake, huyu Kalamaganda alikuwa anaheshimika, akiunguruma kwenye makongamano watu walipigwa ganzi kumsikiliza na povu lake mdomoni, ila sasa huwezi jua kala maharage na kuvimbiwa au ubongo kachukua sisonje kauhifadhi gambushi kwao