Nchi inajengwa na mwananchi.Ina maana mheshimiwa Kabudi nae haoni aibu kuwa na mwanafunzi aina ya Halima Mdee anayetukana hovyo mbele ya kadamnasi tena mara nyingi wakiwepo watu wanaomzidi umri?. Hii inaweza ikawa ni two ways sio one way.
Kwahiyo hizo fedha hazitakuwa documented ktk kitabu cha mapato...Hivi anayekudai asipojua kuwa umepata pesa na na deni limeisha? Kabudi kwakweli kachemsha. Yaani zilipwe kwa siri kisha ziliwe kwa siri kama Esrow, EPA na nyinginezo nyingi
Sasa mbowe, lowasa, kuhusu Acacia na madeni ya nchi wanakujaje??..Kama tungekuwa na misimamo hiyo tunayojidai kuionyesha kwa wengine leo chadema wangekuwa hawakatizi hata barabarani..kama kuna aibu chadema walitutia ni kumfanya lowasa mgombea urais..maana tuliokuwa wanachadema kindakindaki enzi hizo ilibidi tufiche nyuso zetu mitaani..kwa hiyo hilo dume jike halina jipya..labda liseme linaona aibu kumuita mbowe mwenyekiti wake.
Kweli kabisa, yaani ukigundua mwanafunzi wako ni msagaji then wewe ulikuwa mwl wake ni aibu kweli kujitambulisha ni mwl wake.Ni haki yake kuona aibu. Hata mimi huyu Karamaganda Kabundi niliyemtegemea siyo huyu. Amekuwa mtupu kichwani kuliko alivokuwa kabla hajaupata huo uwaziri
Kama jina tu umekosea nawasi wasi juu ya ulichokiandika ama umejibu tu uonekane unajua kitu kumbe hujui au hata kumjua unayemwambia humjui..... Pengne kuna mwngne unayemjua syo uliyemwandika Ndo maana kuna Taratibu za kuandika majina ya watu nk..... Kwahyo hapa sioni hojaNi haki yake kuona aibu. Hata mimi huyu Karamaganda Kabundi niliyemtegemea siyo huyu. Amekuwa mtupu kichwani kuliko alivokuwa kabla hajaupata huo uwaziri
Wenye akili kubwa ndio nyinyi mnaotanguliza matusi na maneno ya kejeli!!.Nchi inajengwa na mwananchi.
Akili yako ndogo ila umeelewa.
Mwenye kejeli ni JPM anaetukana hadi kwenye sala zake.Wenye akili kubwa ndio nyinyi mnaotanguliza matusi na maneno ya kejeli!!.
Nimeamini kwamba kazi ya ualimu kwa nchi za kiafrika inabidi itazamwe upya.
phd korosho ya magumashiMwenye kejeli ni JPM anaetukana hadi kwenye sala zake.
PHD ya korosho
....neshangaa !kumbe mdee kasoma
Utaacha ujinga lini? Nani alimuuliza Kabudi? Kabudi ndio katoa Maelezo yaliyo zua swali na bahati mbaya kajikuta katoa maelezo ambayo hakupaswa kutoa yeye!Halima Mdee ndie aone aibu hakusoma akaelewa alichofundishwa Na professor Kabudi swala la hela ziko wapi alitakiwa amuulize wazuri wa fedha sio professor Kabudi wazuri wa sheria
Utasikilizia wapi huko kwenu wakati habari zote wazipatia jf? Shukuru kwa jukwaa hili kukujuza mamboNa Mimi ndio nasikia leo kuwa kasoma!!!
Vitu vingine mnaimbishwa kama kasuku tuu, DJ DJ!Jiwe ni mwanasiasa na mtendaji wa kiwango cha juu sana. Halima angekuwa mjanja asingekuwa chini ya DJ na ujanja wake.
Kusema hawezi kutangaza hiyo inaweza kuwa ni mbinu tu kuwahadaa watz kuwa tumelipwa kumbe hakuna kitu kama hicho ... Open wide your eyes dudes ...Inategemeana na majukumu wanayopangiwa!