Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 366
duuuuuhhhh . . . . . . . . kweli ni aibu, maana hili sakata limeshageuka kigugumiziMbunge wa Kawe (CHADEMA) Halima Mdee amesema anaona aibu kwa Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kuwa mwalimu wake kwa sababu ameshindwa kulieleza Bunge kuhusu Sh424 trilioni ambazo Serikali ilidai zitalipwa na Mgodi wa Acacia kama kodi waliyokwepa.