mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Mkuu kwa hali ya sasa ndani ya chadema kuwafukuza bawacha19 ni sawa na mwanaume anaishi na mwanamke mrembo na makini miaka20 ndani ya nyumba halafu ghafla anaamu kumfukuza na kumrushia vitu nje, huku kukiwa na wanaume Wengine10 wanaomtaka watangaze ndoa kabisa.Ndio wamefukuzwa sasa hata masaa 12 hayafika, watubu.
Hashim Rungwe akiwapata namuona mbali 2025