johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,666
- Thread starter
- #61
Bujibuji yuko sahihi!Hapana wanaweza kuwa wanachama bila kuwa wabunge
Bujibuji yuko sahihi!Hapana wanaweza kuwa wanachama bila kuwa wabunge
SawaBujibuji yuko sahihi!
Koma wewe na ushike adabu yako.Huna lolote wewe wivu unakusumbua unaona wadada wenzio wamekula shavu umri unakwenda, maisha yanaendelea ,wewe umebaki kupiga majungu mitandaoni tena hata huoni haya mwanamke mzima kuwapiga Vita Wanawake wenzio
Wameshaapishwa kuwa wabunge usisahau hilo!Wasikilizwe
Wakijutia kweli wasamehewa
Lakini ubunge wapewe wengine iwapo chama kitabadili msimamo na kuamua kupeleka wabunge bungeni
Ila mkuu wabunge si wanapaswa kuapishea kipindi cha vikao vya bunge ndani ya bunge na siyo garage? Au nakosea mimi?Wameshaapishwa kuwa wabunge usisahau hilo!
Unakosea wewe mkuu.Ila mkuu wabunge si wanapaswa kuapishea kipindi cha vikao vya bunge ndani ya bunge na siyo garage? Au nakosea mimi?
Nami nalisema kwa dhati kabisa msema kweri ni mpenzi wa MunguWapinzani walituchelewesha sana, au nasema uongo ndugu zangu?
Usiogope bwashee.
Tunataka kumjua aliyeandika barua ya uteuzi kwenda NEC!
Duu! Hii kali!Koma wewe na ushike adabu yako.
Mbona unachamba hivi kama mwanamke. Mwanaume gani wewe? Wivu wa nini? Na usipende kushobokea watu utaolewa we kaka. Usiwe unawashwa washwa kama hujasemeshwa. Haya kwaheri
Hilo jina walipewa wapinzani wote kutoka kwa Mh. Polepole,mwanzo walilikataa ila naona sasa wameamua kulikubali.Ila wamebatizwa jina baya Covid 19!
Walipewa kutoga group la whatsup la BAVICHAHilo jina walipewa wapinzani wote kutoka kwa Mh. Polepole,mwanzo walilikataa ila naona sasa wameamua kulikubali.
Kuna watu wana viherehere sanaDuu! Hii kali!
Sijaliamini jibu lako. Nitafuatilia kwa undani zaidi. Mbunge anapaswa kuapishwa bungeni na si garage tena kwenye session za vikao.Unakosea wewe mkuu.
Wabunge wanapaswa kuapishwa mbele ya Spika!
Hivi unavyomwambia mtu ametanguliza maslahi ya familia yake na tumbo lake unakuwa maana gani?wewe unayesema hivyo ushawahi kufanya jambo gani ambalo ni maslahi ya watu wengine tofauti na familia yako?Njaa mbaya sana sana
Hao wameshapotea kisiasa na kujishushia heshima....
Wewe unamaono kuliko Nyerere aliye sema hakuna jinsi lazima vyama vingi .Kama huelewi subiri muda mfupi ujao utaelewa!!!.Wapinzani walituchelewesha sana, au nasema uongo ndugu zangu?