johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,803
Hakimu Thomas Simba ameahirisha kesi ya viongozi wa CHADEMA ili kutoa muda kwa wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na wadhamini wao kujieleza kwanini wasifutiwe dhamana baada ya kusafiri nje ya nchi bila ruhusa ya mahakama.
Mdee amesema alienda Afrika Kusini kupata matibabu baada ya kupewa barua na Hospitali ya Aga khan, katika safari hiyo ya kitabibu Halima alisindikizwa na Bulaya.
Chanzo: ITV habari!
Mdee amesema alienda Afrika Kusini kupata matibabu baada ya kupewa barua na Hospitali ya Aga khan, katika safari hiyo ya kitabibu Halima alisindikizwa na Bulaya.
Chanzo: ITV habari!