Nimekuwa nikijiuliza sana maswali mengi kichwani kuhusu Viongozi wetu hawa Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa ni Wabunge ambao wapo pamoja sana. Walipokwenda JKT walikuwa pamoja, Dodoma wanakaa pamoja. Juzi nilichokiona pia kinanishangaza. Mimi nakaa Mbweni Mpiji, wamenunua ardhi pale Mbweni Mpiji viwanja vinavyo pakana. Address wanatumia Box namba moja, viwanja vinafuatana...jamani urafiki gani huo?