Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,975
- 3,623
Tunawasubiri kwa ham watupe ukweli wa manyanyaso ndani ya chadema, kuna watu wametendewa mabaya sn ndani ya chadema
Si watoke kwani ni VICOBA hiyo?
Tunawasubiri kwa ham watupe ukweli wa manyanyaso ndani ya chadema, kuna watu wametendewa mabaya sn ndani ya chadema
Kiukweli wamejitahidi tena hadharaniWajishushe, maisha yaendelee ndani ya CHADEMA.
Wakati wa kampeni walipokuwa wanatukanwa na wanaCCM wenzako walikuwa wanapakwa mafuta?Ila Chadema wanapenda kutukana sijaona, aise wamemtukana huyu dada na Matiko matusi ya nguoni kabisa, yakudhalilisha na kuwafanya kuonekana kama hawana haki au siyo binadamu!
Tunawashauri CDM waende taratibu, wasiwe na hasira kihivyo, waache matusi hata ikitokea mtu wao kahama chama...
"Don't hate the players, HATE THE GAME.."
Amesema ataenda kueleza kwenye kamati ya chamaHalima hasizunguke,aseme majina ya wateule 19 yaliteuliwa vipi?na katika kikao gani na yalifikaje Tume?.
Hahaha hapo ndio tatizo lao kujiamulia kwenda CCM kuanzisha mgogoro, kama walitaka wao ndio waende wangeomba kwenye chama, kisha wasubirie majibu.Halima hasizunguke,aseme majina ya wateule 19 yaliteuliwa vipi?na katika kikao gani na yalifikaje Tume?.
Na ni waheshimiwa wabunge kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo! aka CHADEMANyie wafukuzeni kwenye chama ila sisi tutaendelea kuwatambua kama wabunge.
Mmmhhh. Ni mtazamo wako. Uamuzi wa kuwatimua is the best everChadema walifanya makosa makubwa sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe.
Wakikata rufaa, bado si wanachama watapigania uwanachama wao.Naona wameingia na Magwanda yao .... next step ni kukata rufaa ndani ya chama ili kuchelewesha mambo!!
Baada ya vikao vya ndani watakwenda mahakamani.
Hata wewe mzee mstaafu hujui la kufanya?Watanzania ni kama tunachanganywa.
Spika Ndugai amesema wabunge 19 wanawake wa Chadema wananyanyasika kwa sababu chama hicho kina mfumo dume tena ni kampuni inayoongozwa na mtu mmoja.
Naye mwenyekiti wa Bawacha anasema yeye na wenzake 19 wamejengwa na Mbowe na kwamba watu wasiwachonganishe na kiongozi wao mkuu wa chama.
Sasa tushike la nani tuache la nani?
Au ndio za kuambiwa tuchanganye na za kwetu?
Maendeleo hayana vyama!
Una jambo si bure na unahusika moja kwa moja katika jambo hili hongera umefanikiwa.Hawa na viongozi wao wanajua wanachokifanya, wafuasi mtulie tuli msubiri matokeo
Ni hasara kumjibu mtu aliyefilisika kifikra kama wewe.Tutajuaje sisi kama hauhongwi wewe? Maana anaetegemea kuhongwa ni lazima ajue kubana matumizi kama wewe.